miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,822
- 48,962
- Thread starter
- #41
Watoto wa kike kweli mnapotea, including wewe uliyeweka hii mada hapa....
Kwa akili kama yako acha wanaume wakware waendelee kuwachezea tu...
Kwa hiyo kwako wewe mwanaume akishakuwa na pesa basi huyo kashapewa shavu la ndoa...
kugegedana sipendi pesa muhimu loh!!!!!!!!!!! kwa hilo nahisi sijapotea nitajenga uchumi