Jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!

miss chagga

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
57,822
48,962
Habari za holday wanaJF!

Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........

Jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana hana furaha katika mahusuiano yake na jamaa yake ambaye wamekuwa wote kwa takribani miaka mitano na jamaa ni king'ang'anizi akitaka waachane jamaa hataki...

kama mjuavyo kila mtu anastarehe yake shoga yangu starehe yake mojawapo ni kugegedana sasa, tatizo jamaa hana mautundu kwa bed rafiki yangu kajitahidi kumfundisha jamaa hadi anamtafutia picha za X(PORNO) ili ajifunze mautundu kitandani lakini jamaa hafundishiki shoga yangu anajitahidi kumwelekeza jamaa wafanye style ambayo yeye ataridhika jamaa anakuwa mkali na huyo rafiki yangu ni mzuri kwa kweli anajiheshimu kiufupi ni (wife material) wanagombana kila mara jamaa kama haoni ndo kwanza.

Sasa anapush wafunge ndoa huyo shoga yangu hana mzuka kabisa wa ndoa lakini kumwambia jamaa hawezi..... ila huyu mwanaume ni rigid habadiliki yani ni kero........

Ndugu upande wa KE wanamforce aolewe nae kwasababu jamaa anajipendekeza kwao sana sasa shoga anawaza hii ndoa atakayo funga na jamaa itakuwa na furaha kweli maana jamaa siku nyingine dude haisimami vizuri wanaweza wakaa hata miezi nane mpaka kumi hawafanya mapenzi jamaa yupo busy na wakikutana jamaa ndo kuishughulikia papuchi hajui.

shoga yangu anakosa raha jamani......

Mimi binafsi nimemwambia shoga yangu aachane nae kwasababu hajaridhishwa na performance ya jamaa and the man he is too rigid alafu hela yenyewe hana....angekuwa anahela kiukweli ningeshauri kitu kingine jamani...

Je wanaJF mnalionaje hili naomba ushauri wenu ili niweze msaidia shoga yangu..............
 
Ahahahaha!
Samahani kicheko kimeniponyoka.
Ila nyie watoto mmezidi utaalamu hadi mnajiponza. Mmezoea maharage yenye magadi basi mkikuta hotelini wametia nazi mnaona sio matamu! Enzi zetu aliekupenda ndo huyo huyo basi ndo hujui mbichi wala mbovu, unakula na kijulamba vidole. Khaa!
 
Ahahahaha!
Samahani kicheko kimeniponyoka.
Ila nyie watoto mmezidi utaalamu hadi mnajiponza. Mmezoea maharage yenye magadi basi mkikuta hotelini wametia nazi mnaona sio matamu! Enzi zetu aliekupenda ndo huyo huyo basi ndo hujui mbichi wala mbovu, unakula na kijulamba vidole. Khaa!

jamani mjamaa afanyi kazi vizuri ..............
 
Yuko busy na nini kama hela hana hata ya kuendeshea maisha! !!!????

Au hela una maanisha nini hapa????!!

hela yake ya kawaida ya kumtosheleza jamaa tu...... wakikutana jamaa anakuwa bussy na simu hana mda na demu wake kabisa .....
 
Habari za holday wanajf! Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........
jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana hana furaha katika mahusuiano yake na jamaa yake ambaye wamekuwa wote kwa takribani miaka mitano na jamaa ni king'ang'anizi akitaka waachane jamaa hataki...
kama mjuavyo kila mtu anastarehe yake shoga yangu starehe yake mojawapo ni kugegedana sasa, tatizo jamaa hana mautundu kwa bed rafiki yangu kajitahidi kumfundisha jamaa hadi anamtafutia picha za X(PORNO) ili ajifunze mautundu kitandani lakini jamaa hafundishiki shoga yangu anajitahidi kumwelekeza jamaa wafanye style ambayo yeye ataridhika jamaa anakuwa mkali na huyo rafiki yangu ni mzuri kwa kweli anajiheshimu kiufupi ni (wife material) wanagombana kila mara jamaa kama haoni ndo kwanza. Sasa anapush wafunge ndoa huyo shoga yangu hana mzuka kabisa wa ndoa lakini kumwambia jamaa hawezi..... ila huyu mwanaume ni rigd habadiliki yani ni kero........

Ndugu upande wa KE wanamforce aolewe nae kwasababu jamaa anajipendekeza kwao sana sasa shoga anawaza hii ndoa atakayo funga na jamaa itakuwa na furaha kweli maana jamaa siku nyingine dude haisimami vizuri wanaweza wakaa hata miezi nane mpaka kumi hawafanya mapenzi jamaa yupo busy na wakikutana jamaa ndo kuishughulikia papuchi hajui. shoga yangu anakosa raha jamani......
Mimi binafsi nimemwambia shoga yangu aachane nae kwasababu hajaridhishwa na performance ya jamaa and the man he is too rigid afu hela yenyewe hana....angekuwa anahela kiukweli ningeshauri kitu kingine jamani...

Je wanajf mnalionaje hili naomba ushauri wenu ili niweze msaidia shoga yangu..............

Ndiyo matatizo hayo ya kuliwa na kula kabla ya ndoa
 
hela yake ya kawaida ya kumtosheleza jamaa tu...... wakikutana jamaa anakuwa bussy na simu hana mda na demu wake kabisa .....

Hela kumtosheleza jamaa tu ndio nini????!!
Yuko husy na simu tu hata wakati wa kugegeda????!!!!
Sasa huyo muolewaji kafanya nini juu ya hiyo tabia ya simu au alijua mume ni kama switch ni on and off tu????!!

Taizo ni kipato hapo mengine vishereheshi tu,kuweni wakweli!!!!
 
^^
Pesa! Pesa!
Kwa nini ulimuua TRUE LOVE ?
Mwanamke haridhiki kitandani kisa PESA !!
(najisemea tu ntarudi kushauri)
^^
 
Ahahahaha!
Samahani kicheko kimeniponyoka.
Ila nyie watoto mmezidi utaalamu hadi mnajiponza. Mmezoea maharage yenye magadi basi mkikuta hotelini wametia nazi mnaona sio matamu! Enzi zetu aliekupenda ndo huyo huyo basi ndo hujui mbichi wala mbovu, unakula na kijulamba vidole. Khaa!

Mapenzi kabla ya ndoa imeharibu sana...
 
Kama 5years amemvumilia, basi wanapendana kweli. Ama tatizo la jamaa ni kutoitendea haki hiyo papuchi, ama huyo shoga ako ana jamaa yake mwingine ili kupunguza makali ya hiyo miezi 8?
 
Huu ni ukweli au uongo? Nani kafundihswa jinsi ya kugegeda? No No ana maruhani yake huyo sio bure....ila na wewe unaoneka unamsifia sana mwenzio unapotoka kugegedwa ndio maana anakuonea wivu! Bisha
 
Amshauri jamaa awe anafanya mazoezi na pia vyakula...chipsi kuku aache ale vyakula vya kuongeza nguvu...

Hayo ya simu yanaweza kurekebishika..

Na siku zote uwezi kupata full package mengine mnafundishana na kurekebishana mpaka kieleweke
 
Mgogoro upo kwenye pesa hapo my dada kwingine wanazuga tu!!!!!

yani ni shoga yangu mno tumesoma nae o level advanced chuo..... yule pesa si issue kwake muhimu mapenzi.............. basi kitandani hajui okey awe basi mchangamfu, mtundu, wakikaa wanaangaliana kama TV watu hawajaonana miezi saba.... lo\
 
Amshauri jamaa awe anafanya mazoezi na pia vyakula...chipsi kuku aache ale vyakula vya kuongeza nguvu...

Hayo ya simu yanaweza kurekebishika..

Na siku zote uwezi kupata full package mengine mnafundishana na kurekebishana mpaka kieleweke
asante sana!!!!!!
 
Amshauri jamaa awe anafanya mazoezi na pia vyakula...chipsi kuku aache ale vyakula vya kuongeza nguvu...

Hayo ya simu yanaweza kurekebishika..

Na siku zote uwezi kupata full package mengine mnafundishana na kurekebishana mpaka kieleweke


Ndio umfundishe huyo dada naye akamfundishe huyo jamaa kugegeda
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom