Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Fanya insu moja TEMANA NAE consetrate on your own bussiness
Inaonekana bidada amefanya jitihada ili umtambulishe kwao au utangaze Ndoa ameona kimyaHabarini wadau na washauri wa JF
Mi bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemiss anaongezea.
Tumeenda vizuri, tumeishi kwa furaha saanaa ghafla mambo yakaanza badilika baada ya mwezi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia maybe i love u anajibu thanks nachoumia akihitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia maybe kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa, yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje maana naumia sana, kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Kaka ujue kuna mtu anakusaidia muda mwingine kuna maeneo ulikuwaumfikishi, sasa kapata wa kumfikishaHabarini wadau na washauri wa JF
Mi bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemiss anaongezea.
Tumeenda vizuri, tumeishi kwa furaha saanaa ghafla mambo yakaanza badilika baada ya mwezi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia maybe i love u anajibu thanks nachoumia akihitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia maybe kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa, yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje maana naumia sana, kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA