Jamani mademu wa Dar! Siyo mchezo

Kaka siom kwamba wanapendeza ni vinguo vya mtumba vinashika kweli kweli na wanajua kutembea kwa kupanua miguu hata wanapokaa kidogo walalamike. hivyo we puuza tu tafuta pesa ukimchukua hata bush anda 50 nenda kwenye mitumba anatoka mchicha tu.
 
Ofcoz dizim wapo watoto warembo na wanaojua kuvaa ukizingatia nguo zao zinauzwa bei Rahisi sana hata akivaa kitop cha jelo na ana chuchu msumari unaona kalipuuuka
 
vi mitumba vya tandale hivo mkuu wangu...... wee endelea kuuza mkaa tu.......
hao madem hawana kitu zaidi ya fungas....
 
Jamani nimezunguka baadhi ya mikoa ya Tanzania na nimewaona warembo wa kila aina, Lakini warembo ambao nawaona ndani ya Bongo,si mchezo jamani!

Kila ninakopita ni balaa tupu! yaani kila mmoja ni mzuri na anavutia kivyake. Pindi nimalizapo kumshangaa demu wa kulia kwangu'nikigeuka tu kushoto, mwingine huyu close yangu!.

Yaani utasema wanashushwa toka angani! Hebu nisaidieni wandugu hiki ni nini? Au ndio ushamba wangu wa mkoa?

Zafanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Teheteheee..kwenye hiyo red...ujue watu wa mkoa wengi, jiji la dar wanaliita bongo, lakini kwa wale wanatoka dar...tanzania yoooote, wao wanaiita bongo..lets say ukiwa ughaibuni...inshu zote zxa tanzania utasema bongo...kuna this and this(haumaanishi dar bali ni tz yote)..lakini kwa watu wa mkoa ukisema bongo wao wanajua ni dar tu pekee.........chukua hatua!!:whoo::embarrassed::teeth::redfaces:
hat mie nilishangaa nilipoenda mkoani kwa mara ya kwanza kusikia wakiita dar ndo bongo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom