Jamani @Madame B!

KARIA

JF-Expert Member
Jan 15, 2011
717
472
Mawazo ya nini Madame B? Nani kakutenda?

Berenice-Marlohe-%E2%80%9COmega%E2%80%9D-Campaign-2013-1-682x1024.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hana mawazo yeyote,anafanya meditation kwa kipindi hiki kuangalia mwaka huu tumepiga hatua gani na vitu gani hatujavifikia ili next year tuanze tukiwa wapya kabisa.
 
Hana mawazo yeyote,anafanya meditation kwa kipindi hiki kuangalia mwaka huu tumepiga hatua gani na vitu gani hatujavifikia ili next year tuanze tukiwa wapya kabisa.
Labda ila mhh! kweli anafanya meditation huyu?

Berenice-Marlohe-%E2%80%9COmega%E2%80%9D-Campaign-2013-2-150x150.jpg
 
Mawazo ya nini Madame B? Nani kakutenda?

Berenice-Marlohe-%E2%80%9COmega%E2%80%9D-Campaign-2013-1-682x1024.jpg

Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.

Upendo wako na ucheshi wako ndio chachu ya yote hayo usihofu!
 
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.
wamekugeuza bustani kutwa kukumwagia?
wamekuugeza chakula hawaishi kukupakua?
wamekuugeuza gari muda wote kukupanda?
wamekugeuza mlango siku nzima kukugonga?
hawajui kwamba wewe ni under 18 shurti upakatwe,
ubebembelezwe kwa madaha na raha zote upewe?
 
angalia shoga angu wasikugeuze ngisi, waanze kukula mkia kabla ya jicho, mbavu na nyamanyama!! jamani mumtue shoga angu, lol!
 
angalia shoga angu wasikugeuze ngisi, waanze kukula mkia kabla ya jicho, mbavu na nyamanyama!! jamani mumtue shoga angu, lol!
Bibi yangu cacico upooo? Salamu zako nyingi mno kutoka kwa yule bibi mwingine yuleee...!
 
Last edited by a moderator:
Daaaaah mama hapo sina neeenoo
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.

sasa mbona unapingana na mumeo? Anasema huna mawazo we unasema una mawazo. Kajipangeni kwanza..
 
Last edited by a moderator:
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.

mtoto wa Tanga wewe hukawii, kutunasa!
 
Jamani KARIA ni kweli nina mawazo.
Yani wanaume wa humu CC sijui nimewakosea nini!
Kutwa sikauki midomoni mwao.
Wamenigeuza bigjii mtoto wa mwanamke mwenzao,kutwa niko midomoni.
Wamenigeuza Stika,kutwa kunibandika na kunibandua.
Wamenigeuza msumari kutwa kunishindilia.
Mnituwe enyi wanaume.
Nami nina wangu.
wewe si mama wa mipashooooo......my foma
shemeji
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom