A L Mrema ni mwansiasa pekee aliethubutu kuitosa CCM wakati bado akiwa na waazifa wa waziri hakuna mwanasiasa aliejaribu kuacha utamu wa madaraka isipokuwa Lyatonga Mrema.
CHADEMA kupitia Zitto walililamika CUF kumsimamisha mgombea katika jimbo la Kigoma kaskazini lakini hawaoni dhambi kumsimaisha mgombea ubunge Vunjo mahali Mrema A L anapokubalika zaidi ya mgombea wao dhaifu na asiyekuwa na mvuto
CHADEMA kupitia Zitto walililamika CUF kumsimamisha mgombea katika jimbo la Kigoma kaskazini lakini hawaoni dhambi kumsimaisha mgombea ubunge Vunjo mahali Mrema A L anapokubalika zaidi ya mgombea wao dhaifu na asiyekuwa na mvuto