Jamani " lizzy" utaniua kwa barua yako tamu

Kongosho nafikiri hujawahi kurogwa eeh !
Ukirudia maneno sampuli hii shauri yako !
Ungekua He nakushusha shipa!
Bt kwa vile nna uhakika ni She nakushusha mtindi !
Na hutopata size ya Sidiria hadi siku ya kiyama! Utaishia za kushonesha !
Nilikuloga juzijuzi hapa ukawa Maziwa mtindi , umesahau ?
Hahahahaaaa aise nimecheka sana JG
Hebu mdunde awe NYAMA CHOMA maana leo weekend nyamaa choma muhimu....
Hahahahaaa eti akawa Maziwa ya Mtindi Lol
Kongosho umekamatika hapa kwikwikwikwikwiiiiiiiiiii
 
Hahahahahahaha Ta Kamugisha bana. . .asante sana kwakunikumbusha hii kitu. Ngoja nimuombe mtu nauli alafu akishakubali tu namzingua nayo nione reaction. . . Lolzzz

Nwy hongera kwakufanikiwa kutuma pesa ya stamp na bahasha, FINALLY, maana ndivyo vilivyokuwepo kati yako na barua.

Akupendae daima,
Lizzy.

Te te Lizzy bora umekata kilimi limi cha watu, wangenipondaje! Nauli naiandaa na sasa nimehairisha situmi tiketi ya basi, nakutumia ya ndege ili usichoke mama.
 
kazi gani tena hiyo alomaliza dubu?

@amy. . .
Hata sipingi mwaya. Niliandika na kuituma mwenyeweeee.

woooooooo wiiiiiiiiiiiiiiii weweeeeeeeeeeeeeeeeeee wenye wivu wjinyonge, full maandalizi kwa ugeni
 
Najituliza kwake kasuku eeeeeeh sitaki manenooooo......sitaki manenooooo..anachopata kinamtosha eeeeeeh daima mileeeeleeee eeeeeeh Kasukuuuuuu eeeh

malaika nakupenda malaikaa... aaah sorry!

Smileee... nakupenda Smileee... mimi nifanyejeee... mkubwa mwenzio... naweza na mali ninayo weee... NAKUPENDA SMILE
 
wala hayajakaa kibeberubeberu! Yamekaa kikike hasa!
Namuonea gele ajabu kuibua hata mie kwa mbaali nilikua nammezea mate !
Kumbe wakubwa wanafaudu !

watu wana wivu jamani, ebu vumilieni kwa hizi siku jamani nami nifaidi
 
ha ha ha ha, ngoja huyo maziwa ya mtindi akusikie, utajibeba.

Wee chunguza utaona, hizi habari nilipata kwa mshona viatu mmoja anaitwa Rejao.

Kongosho nafikiri hujawahi kurogwa eeh !
Ukirudia maneno sampuli hii shauri yako !
Ungekua He nakushusha shipa!
Bt kwa vile nna uhakika ni She nakushusha mtindi !
Na hutopata size ya Sidiria hadi siku ya kiyama! Utaishia za kushonesha !
Nilikuloga juzijuzi hapa ukawa Maziwa mtindi , umesahau ?
 
Sasa utawaangalia wanatoana meno?
Lol utashangaa watakapokubaliana kuleta amani na upendo na kukubali mmoja kuwa Nyumba Kubwa,mwingine ya Katikati na mwingine Ndogo.....Teh ila wote wanakuwa sambamba kwa kila kitu...kama mtoko basi maandamano na kama kulala maandamano...teh
Kina nani hao kwanza? Umenipoteza.
 
afu na wewe, ntakupiga ngumi ya pua hadi amyner akukatae.

Unacheka wakati unaona JG anataka kuniendea Sumbawanga.

Hahahahaaaa aise nimecheka sana JG
Hebu mdunde awe NYAMA CHOMA maana leo weekend nyamaa choma muhimu....
Hahahahaaa eti akawa Maziwa ya Mtindi Lol
Kongosho umekamatika hapa kwikwikwikwikwiiiiiiiiiii
 
Yaani mbaya wako namba wani ni mie
hata siku mkiachana mie ndo ntakuwa mchawi wenu.

Anyway, navumulia sababu Lizzy kakubali in public.

woooooooo wiiiiiiiiiiiiiiii weweeeeeeeeeeeeeeeeeee wenye wivu wjinyonge, full maandalizi kwa ugeni
 
Kwani mi nilimnyang'anya?
Kaja mwenyewe, na mie sikufunzwa kufukuza mgeni.

Baambieeeeeeeeee haoooooooooooo, dah jamani watu wana wivu sijawai ona, kumbe wengi walikuwa wanakutafuta na kukutamani? Mimi kiulainiiiiiiiiiii kama nanawa mtoto wa kihaya. Mama nikuandalia senene wa kutosha, ntakufundisha namna ya kupika ndizi za kwetu na kukaanga senene.
 
malaika nakupenda malaikaa... aaah sorry!

Smileee... nakupenda Smileee... mimi nifanyejeee... mkubwa mwenzio... naweza na mali ninayo weee... NAKUPENDA SMILE
Embe dodo embe dodo limelala mchangani kwa huba na mazoea uwe wangu wa milele.....
Nammiss sana shemeji yako....
Namdedicate:"Ni wewe Kipenzi nikupendae kwa jina unaitwa......mwenye sura nzuri ya kupendezaaaa tabia na heshima yako ni ya kusifika eeeeee japokuwa uko mbali nami bado nina faraja....ninachokuomba jihadhari na walimwengu(Mtei One na Bagah)...usione wanakuita shem shem ukawaeleza siri ya penzi letu...watafanya kila njia waone tumetengana....."
 
Jamani hii ngoma ni BK moja hakuna cha kwenda UNGA LTD hapa, haujaona kuwa namtumia nauli ya kuja huku?
Teh yan unahangaika kumtumia nauli wakati wenzako wajanja washaweka kambi Unga LTD unadhani ataweza kuondoka?
Nenda kwenye uwanja wa mapigano itakula kwako then uje na barua kama ya Daz Nundaz
 
Back
Top Bottom