Yaani kuna post humu zina mislead sana watu. Ukizifuata unaweza kupotoshwa ukapotea. Why aren't you guys fair???? Msipotoshe watu jamani. Watu tupo huku arumeru tunashuhudia kila kinachoendelea lakini unaweza ukaja humu jamvini ukasoma vitu ukabaki kujiuliza hawa watu wanaizungumzia hii arumeru niliyopo au kuna arumeru nyingine.