Jamani leo Ijumaa bata wapi

Nipo hapa 5N njoo, utakuta jamaa mrefu mweusi wa wastani, wanapochoma nyama ingia ndani kuna ka sofa ka kishkaji. Nimekaa nakula windhoek ukifika niambie mimi ndiye. Ntakuwepo hapa mpaka mida mibovu flani hivi
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom