Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,470
- 45,614
AyaShosti nakupigia sasa hivi!
Hivi pale governor s yule Dada mweusi mzuuri kibonge bonge ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AyaShosti nakupigia sasa hivi!
Rainbow mmoja hapanogi. Labda mume wawili hivi na kuendelea NN
Mzuri vile? Daah atakuwa anakula miamala sana paleNi mhudumu tu
Mleta Mada kitambo sana upo ? Tips si pabaya kwa kuanziaMashostito na Masela ni kiwanja kipi kinabamba kwa leo hasa maeneo ya kinondoni. Fourways Park nimeshapachoka hata governors nimeshapachoka.
Papichulo nehii, Break-point pale napo nimepachoka.
Mbali na hizo hapo Juu waungwana wapi panabamba siku za Ijumaa
Hahaaaa my bad Viv!
It’s not that kinda smoke.
It’s the other smoke....ass whupin.
Njoo master club mikocheni utanikuta counter na juice ya ceresmimi nitakuwa governors sasa wewe ulifika pale jaribu kupapasa macho ukiona kuna mtu amepanga kreti za castle lite urefu wake ujue ndio mimi
njoo uninong'oneze mimi ndio vivian wa Jf hakikisha wengine hawasikii
Njoo master club mikocheni utanikuta counter na juice ya ceres
the Chimney Ngabu hahahah
Miss natafutaNjoo master club mikocheni utanikuta counter na juice ya ceres
Tabata nasikia ndio kwenyewe the great, Kweti pazuri, fouty fourty.......
Kweli kila kitu na umri wake, mie saa moja nishajifungia ndani na roho nyeupee pyeee,
Mikocheni.ni kwa wahenga lakiniMaster Club ipo wapi?
Kweli kila kitu na umri wake, mie saa moja nishajifungia ndani na roho nyeupee pyeee,