Usijali swala la pesa zimo.Hela unayo...sio uwasumbue tu watt wa watu
Ni nataka mtoto mmoja kwa sbb kuu mbili..moja nipate mda mzuri wakuzunguka nae duniani..pili..nataka nimwandae kuwa kama Donald Triumph MTU mwenye ukwasi WA siku zijazo.Kwa nini akuzalie mtoto mmoja Na atokee tanga?
We wasifu wako n upi
Ni nataka mtoto mmoja kwa sbb kuu mbili..moja nipate mda mzuri wakuzunguka nae duniani..pili..nataka nimwandae kuwa kama Donald Triumph MTU mwenye ukwasi WA siku zijazo.
Pole sana dogo.Nianyiimani ninyi nyote ni wazima WA afya njema..Najitokeza safari hii na tafuta mpnz wakuwa namimi awe ana umri usiozidi 25miaka..na pia atokee Tanga.na awe tayari kunizalia mtoto mmoja. Ahsanteni.
Nenda barabara ya kumi na sita wamejaa chagua mwenyeweNianyiimani ninyi nyote ni wazima WA afya njema..Najitokeza safari hii na tafuta mpnz wakuwa namimi awe ana umri usiozidi 25miaka..na pia atokee Tanga.na awe tayari kunizalia mtoto mmoja. Ahsanteni.