Tanzania ni nchi kubwa yenye ukubwa wa 945,000 sq km (365,000 sq miles na yenye idadi ya watu milioni 42,500,000 (IMF, 2008).Pia nchi hii ina mikoa zaidi ya 26(jumlisha mipya zaidi ya 3 iliyotangazwa)na wilaya 127 kwa takwimu ambayo haijajumuisha wilaya mpya na majimbo ya uchaguzi 239(NEC data,2010).
Kutokana na maelezo ya hapo juu ni dhahiri kwamba huu mjadala wa muswada wa kuunda tume ya kuratibu hiyo katiba mpya kufanywa ktk mikoa DSM,DODOMA NA ZBR ni kuwanima wanchi wengi haki yao ya msingi kama ilivyoanishwa kwenye ibara ya 18 ya katiba ya 1977.
Mi nadhani hizi kamati bunge zingepita kila mkoa na wilaya ili zipate maoni ya watu wengi.Huu uwakilishi wa mikoa hii una dhamira ya dhati ya kupata maoni ya walalahoi wa nchi ambao ikumbukwe zaidi 80% wanaishi vijijini,je watatikana KARIMJEE,au ukumbi wa Msekwa?
Tatizo la viongozi wa Tanzania wako seroius na mambo yasiyo muhimu kuliko mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa.
kw watu walivyochoka vurugu zaidi itegemewe.
Kutokana na maelezo ya hapo juu ni dhahiri kwamba huu mjadala wa muswada wa kuunda tume ya kuratibu hiyo katiba mpya kufanywa ktk mikoa DSM,DODOMA NA ZBR ni kuwanima wanchi wengi haki yao ya msingi kama ilivyoanishwa kwenye ibara ya 18 ya katiba ya 1977.
Mi nadhani hizi kamati bunge zingepita kila mkoa na wilaya ili zipate maoni ya watu wengi.Huu uwakilishi wa mikoa hii una dhamira ya dhati ya kupata maoni ya walalahoi wa nchi ambao ikumbukwe zaidi 80% wanaishi vijijini,je watatikana KARIMJEE,au ukumbi wa Msekwa?
Tatizo la viongozi wa Tanzania wako seroius na mambo yasiyo muhimu kuliko mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa.
kw watu walivyochoka vurugu zaidi itegemewe.