Ruth kadenge
Member
- Oct 5, 2012
- 10
- 1
nataka kujiunga na chuo cha misitu anayefahamu, kiko mahali gani, na maelezo kuhusu hicho chuo anijuze. kwa sababu sielewi nianzie wapi, asanteni wana jf.
mda gani wanaanza kutuma maombi? na kuhusu fees inakuwaje? na wanaangalia vigezo gani?..