Jamani kuweni wazazi wenye mapenzi!

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,771
59,121
Miezi kama miwili hivi iliyopita mzee mmoja jirani kajulikana kua amekua akimchezea(mchezo mchafu) mtoto wake wakumzaa. :(:mad:

Amekua akimfanyia hivyo since she was 7 and the worst part ni kwamba kamtia mimba mwanae wa miaka 12.Imagine mtoto kumzalia baba yake mtoto!!!!!!

Hiki kitu kimenifanya nikafikiria sana kuhusu mahusiano kati ya wazazi na watoto wao.(Kama huyu naona kaamua kumpenda mwanae all the way)hehheh jokes aside......!Jiulize huyu mzee kamfundisha nini mwanae,unaweza kupata picha huyu mtoto anaweza kuwa mwanamke wa aina gani hapo baadae??Sidhani kama atastahili lawama iwapo atawachukia wanaume maisha yake yote!!Na sio kama namaanisha kua wanaume wote wanastahili adhabu yakuchukiwa na huyu binti kwa kosa alilofanya baba yake no,ila anayo haki yakuwaona wote ni wanyama coz ndo picha atakayoishi nayo for the rest of her days.

Wewe kama mzazi ndiye unayemtengenezea mwanao picha ya jinsi ambavyo ungependa awe mwaishani mwake.Kila unachokifanya ambacho mwanao anakisikia ama kukiona kina uwezo wakumwathiri iwe kwa uzuri au kwa ubaya.Tukana hovyo na yeye ataona ni sawa(atleast UDOGONI...kipindi ambacho anafuata na kusikiliza maelezo yako karibu yote).

Newayz mwisho wa yote ni kwamba avoid tabia ambazo sio nzuri mbele ya watoto.Na kubwa zaidi WAONYESHE UNAWAPENDA maana hicho bado ni kitendawawili kwa watu wengi.Kuwapenda mnawapenda ila kuwaonyesha ndo inakua ngumu.Pay attention to them,just as much as you are demanding from your partners.Na tabia ya kunyanyasa au kuwatreat watoto ambao sio wetu(awe wa ndugu au la)TUACHE.Nyanyasa wa mwenzio na wewe uje kunyanyasiwa.:rolleyes:



 
Du! lilsun kwa hapo napata kigugumizi.ila ninachoweza kusema tu wengine baadhi yetu tumekuwa na miungu kibao na miimani michafu.so kwa uzoefu wangu nimewahi kushuhudia case chache za aina hii lkn ukijaribu kuchimba mara oooh, nimeagizwa na Mganga.Jamani hawa waganga watatutuma tukazae ht na mama\baba zetu kwa kutokujua kuwa wale nao wanatafutia familia zao chakula pia.so haina maana tuwalaumu wanaume tu la hasha tutafute na undani zaidi.hakuna matapeli wakubwa km waganga wa kienyeji.mfano hai mm kuna anaeniendea kwa mganga tangu ninasoma almost 6yrs sasa ili nivurugikiwe mambo yangu lkn matokeo yake hakufanikiwa.sasa sijui huyo mganga wake wa kimasai anamsaidiaje utapeli mtupu.ndo hayo sasa yanawageukia wadogo zetu wewe baba wewe ungekuwa mzazi mwenye busara mwombe mwanao msamaa.
 
My God mungu aepushe mbali sana
Kama ameanza akiwa na miaka saba ,,kwanza alianza kumuharibu Binti kisaikolojia ili aone hakuna ubaya juu ya mambo yake ya ufirauni ,,hivyo Binti akaona ni sawa
Lakini Baba au mama inawezekanaje ukawa na mapenzi na mwanao wa kumzaa ?
nakosa la kusema hapa ..
 
Du! lilsun kwa hapo napata kigugumizi.ila ninachoweza kusema tu wengine baadhi yetu tumekuwa na miungu kibao na miimani michafu.so kwa uzoefu wangu nimewahi kushuhudia case chache za aina hii lkn ukijaribu kuchimba mara oooh, nimeagizwa na Mganga.Jamani hawa waganga watatutuma tukazae ht na mama\baba zetu kwa kutokujua kuwa wale nao wanatafutia familia zao chakula pia.so haina maana tuwalaumu wanaume tu la hasha tutafute na undani zaidi.hakuna matapeli wakubwa km waganga wa kienyeji.mfano hai mm kuna anaeniendea kwa mganga tangu ninasoma almost 6yrs sasa ili nivurugikiwe mambo yangu lkn matokeo yake hakufanikiwa.sasa sijui huyo mganga wake wa kimasai anamsaidiaje utapeli mtupu.ndo hayo sasa yanawageukia wadogo zetu wewe baba wewe ungekuwa mzazi mwenye busara mwombe mwanao msamaa.
Hiai imani zingine tunaziendekeza tu iweje mganga akuambie ufanye kitu ambacho yeye hawezi kukifanya?
sijui kwanini mpaka leo watu tunaamini ushirikina
 
LilSun,

Wanaume wengi wanawapenda sana watoto wao. Hizo case chache ama ni wagonjwa au kama alivyosema American Lady inaweza kuwa mambo ya kishirikina.

Kila jamii ina jinsi ya kuwatendea watoto ambayo inadhihirisha kuwa wazazi wanawapenda hata kama hawawambii kizungu feki "I love you honey/sweetie". Lakini kuna watu hasa wa Mjini wamezidisha kile wanachoita mapenzi kwa watoto hadi inakuwa kama usanii. Baadhi ya wazazi wanajidai kuwaonesha watoto kuwa wanawapenda kiasi cha kuwaharibu. Tunahitaji balance ya kuwaonesha watoto kuwa tunawapenda na pia kutumia busara kuwalea ili wasiharibikiwe! Huu uchafu na ukatili kwa watoto ni vitu ambavyo vinatakiwa kushughulikiwa na vyombo vya dola na kila mtu kwenye jamii.
 
Hiai imani zingine tunaziendekeza tu iweje mganga akuambie ufanye kitu ambacho yeye hawezi kukifanya?
sijui kwanini mpaka leo watu tunaamini ushirikina

FL1, unawajuwa waganga wewe? Siku zote anakueleza kitu ambacho anajua kuwa ni chizi tu anaweza kufanya. Lakini kwa kuwa watu wanaoenda kwa waganga nao wana matatizo ndo maana wanafanya. Kuna kijana aliambiwa kuwa ili apate dhahabu machimboni basi amletee mganga jicho la mama yake mzazi. Mganga alijua kuwa kijana hatafanya. Kumbe kijana aliamua kumuua mama yake na mataokeo yake dhahabu akazifuata jela!
 
My God mungu aepushe mbali sana
Kama ameanza akiwa na miaka saba ,,kwanza alianza kumuharibu Binti kisaikolojia ili aone hakuna ubaya juu ya mambo yake ya ufirauni ,,hivyo Binti akaona ni sawa
Lakini Baba au mama inawezekanaje ukawa na mapenzi na mwanao wa kumzaa ?
nakosa la kusema hapa ..

FL1, mwanaume hana haja ya kuwa na mapenzi na mwanamke kabla ya kufanya naye ngono. Akihitaji tendo la ndoa anatafuta kwa yeyote na ndo maana hata vichaa wanaolala kwenye mitalo wanazalishwa; tena na watu wenye heshima zao kwenye jamii. Akina mama wanatakiwa kulijua hili ili kuhakikisha watoto wao hawanajisiwi na baba zao au ndugu wa karibu.
 
FL1, unawajuwa waganga wewe? Siku zote anakueleza kitu ambacho anajua kuwa ni chizi tu anaweza kufanya. Lakini kwa kuwa watu wanaoenda kwa waganga nao wana matatizo ndo maana wanafanya. Kuna kijana aliambiwa kuwa ili apate dhahabu machimboni basi amletee mganga jicho la mama yake mzazi. Mganga alijua kuwa kijana hatafanya. Kumbe kijana aliamua kumuua mama yake na mataokeo yake dhahabu akazifuata jela!

oooh my god inatisha
 
FL1, mwanaume hana haja ya kuwa na mapenzi na mwanamke kabla ya kufanya naye ngono. Akihitaji tendo la ndoa anatafuta kwa yeyote na ndo maana hata vichaa wanaolala kwenye mitalo wanazalishwa; tena na watu wenye heshima zao kwenye jamii. Akina mama wanatakiwa kulijua hili ili kuhakikisha watoto wao hawanajisiwi na baba zao au ndugu wa karibu.

na nyie wanaume mnatisha kwa staili hiyo
 
na nyie wanaume mnatisha kwa staili hiyo

Ndio maana tunaitwa wanaume na nyie ni wanawake! Kitu cha msingi ni kuuelewa huo ukweli na kuufanyia kazi. Binafsi najiamini lakini kila mara namsisitiza wife kuwa asimwamini mtu kwenye suala la boys wetu. Kwa hiyo awe macho na hata tabia zangu aziangalie kwa karibu. Binadamu ni mnyama wa ajabu sana. Kwenye suala la kutunza watoto hata mimi sitabweteka boys wangu wakishakuwa wakubwa kwani zipo cases za mama kuwaingiza watoto wao majaribuni. Inatia kinyaa ila ndo ukweli.
 
Du! lilsun kwa hapo napata kigugumizi.ila ninachoweza kusema tu wengine baadhi yetu tumekuwa na miungu kibao na miimani michafu.so kwa uzoefu wangu nimewahi kushuhudia case chache za aina hii lkn ukijaribu kuchimba mara oooh, nimeagizwa na Mganga.Jamani hawa waganga watatutuma tukazae ht na mama\baba zetu kwa kutokujua kuwa wale nao wanatafutia familia zao chakula pia.so haina maana tuwalaumu wanaume tu la hasha tutafute na undani zaidi.hakuna matapeli wakubwa km waganga wa kienyeji.mfano hai mm kuna anaeniendea kwa mganga tangu ninasoma almost 6yrs sasa ili nivurugikiwe mambo yangu lkn matokeo yake hakufanikiwa.sasa sijui huyo mganga wake wa kimasai anamsaidiaje utapeli mtupu.ndo hayo sasa yanawageukia wadogo zetu wewe baba wewe ungekuwa mzazi mwenye busara mwombe mwanao msamaa.

TRUE lakini its about time watu tujifunze.Utakua na akili gani kuamini kwamba mtu anaweza kukusaidia kupata kitu ambacho yeye kashindwa kujipatia???

Huyo mzee ilivyofahamika bintiye ana mimba alianza kwakusema eti kuna mtu kamlogea hiyo mimba!!!!Baada ya mtoto kubanwa sana ndo akasema ukweli na mzee alivyoona moto umewaka akakubali.So hata hao wanaosingizia waganga utakuta ni ukatili 2 na upungufu wa akili ndo unaowaongoza!!!
 
FL1, mwanaume hana haja ya kuwa na mapenzi na mwanamke kabla ya kufanya naye ngono. Akihitaji tendo la ndoa anatafuta kwa yeyote na ndo maana hata vichaa wanaolala kwenye mitalo wanazalishwa; tena na watu wenye heshima zao kwenye jamii. Akina mama wanatakiwa kulijua hili ili kuhakikisha watoto wao hawanajisiwi na baba zao au ndugu wa karibu.

Dark City, seconded! tafiti zinaonyesha kuwa watoto wanabakwa na kunajisiwa na watu wanaowategemea kwa ulizi. baba, kaka, wajomba na walimu wao na hata rafiki za familia zao- rank ya baba, mjomba etc.

FL1, Amrican Lady etc, kisaikolojia ni kuwa wanaume ni victim wa hate and limited love na impact yake ndo hii ya watoto, wanyama na vichaa kubakwa. haya matukio hayajitokezi au hujitokeza kwa nadra sana katika familia zenye upendo halisi. a slight hatred in ur family, ladies, is dangerous to the security of everybody in family- ndo haya mambo ya beheading a wife, rap, excessive beating, abusive languages. it is said that the impact can be generational. TUHUBIRI NA KUONYESHA UPENDO KTK FAMILIA ZETU, IT PAYS!
 
Back
Top Bottom