Huyu mwenye pink kavaa sivyo,
Mbuzi mbuzi utaua bendi maana mbavu zangu zinauma kwa utukutu wako. Ila I doff for your creativity and entertainment. Siyo kama wale waganga njaa na waganga wa kienyeji wanaotuletea graphic photos. God award you my pet mbuzi mzee.
hapa mandogo unalipa sema unaunesha mnene kiasi
Kwani huyo mwenye kiatu cha pink, kidole kimoja kimetokezea kwa juu ya kiatu?