Uumbaji ni wa Mungu tukianza kuchunguzana mwili mzima hapa kila mtu ana kasoro kibao, tena nyingine za siri kubwa
Ukibahatika sana unavaa papa na nguluMaisha ya kukimbizana na mbigili pekupeku kwa 20% ya maisha yetu..
Word.
Ingekuwa kila binadamu anajiumba mwenyewe, nina hakika shingo zote, yes zote, duniani zingefungwa supports coz dunia ingefanana na mbuga nzuri ya binadamu......Na kila mtu akifika nyumbani kwake mwisho wa siku angekanda shingo hiyo kwa maji manake kazi ya kufuatilia kuangalia kila kizuri kipitacho isingekuwa ndogo ati...
Watu wengine bana, we mshukuru Mungu kama ulizaliwa uko ok, sidhani kama mtu huchagua aweje
dada umeolewa?
hapa mandogo unalipa sema unaunesha mnene kiasi
Wako mzuri lakini inaonekana umri umekutupa mkono!