GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
@godless_lema
Tumefanya mazungumzo na Jeshi la Polisi,mikutano yetu itaendelea kama kawaida.Pia kutokana na kuzorota kwa zoezi la uandikishaji nimewataka wasimamizi wa Uchaguzi niwasaidie magari matano ya matangazo,waweke nembo zao au za ccm ili mradi Wananchi watangaziwe.
Mnawachokoza wenyewe wakijibu Mapigo msianze Kulialia na Kutafuta Huruma humu Mitandaoni sawa?
Tumefanya mazungumzo na Jeshi la Polisi,mikutano yetu itaendelea kama kawaida.Pia kutokana na kuzorota kwa zoezi la uandikishaji nimewataka wasimamizi wa Uchaguzi niwasaidie magari matano ya matangazo,waweke nembo zao au za ccm ili mradi Wananchi watangaziwe.
Mnawachokoza wenyewe wakijibu Mapigo msianze Kulialia na Kutafuta Huruma humu Mitandaoni sawa?