Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information

inawezekana kuanzia wife moaka mchepuko nawa spy kwa whatsapp web nao hawanui vitu kama walivyo wanawake wengine.
 
Kindly let me go straight to the point,

Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information.

I feel like nachunguzwa

My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu kushika simu yangu anaweza kupata chat zangu za whatsap. Muhusika ni mtu wa IT
Ameshawahi kuniambia nikifanya madudu atayajua tu na atanionyesha ushahidi.

I have been flirting here and there, sasa ameanza maneno kama vile anajua ninacho kifanya. Kama Kuna uwezekano wa kuzuia asione chats zangu pia I will be glad if I get any help.

Thank you
Haiwezekani 100% keep slaying sis!!!
 
Kindly let me go straight to the point,

Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information.

I feel like nachunguzwa

My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu kushika simu yangu anaweza kupata chat zangu za whatsap. Muhusika ni mtu wa IT
Ameshawahi kuniambia nikifanya madudu atayajua tu na atanionyesha ushahidi.

I have been flirting here and there, sasa ameanza maneno kama vile anajua ninacho kifanya. Kama Kuna uwezekano wa kuzuia asione chats zangu pia I will be glad if I get any help.

Thank you

Acha umalaya
 
Back
Top Bottom