Hiyo simu alinunua akakupa ? If yes kuna uwezekano kainstall apps zinazomuwezesha kusoma msg zakoNdio najua mimi ni kichomi
But am not ready to stop anytime soon
Hiyo simu alinunua akakupa ? If yes kuna uwezekano kainstall apps zinazomuwezesha kusoma msg zakoNdio najua mimi ni kichomi
But am not ready to stop anytime soon
Haiwezekani 100% keep slaying sis!!!Kindly let me go straight to the point,
Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information.
I feel like nachunguzwa
My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu kushika simu yangu anaweza kupata chat zangu za whatsap. Muhusika ni mtu wa IT
Ameshawahi kuniambia nikifanya madudu atayajua tu na atanionyesha ushahidi.
I have been flirting here and there, sasa ameanza maneno kama vile anajua ninacho kifanya. Kama Kuna uwezekano wa kuzuia asione chats zangu pia I will be glad if I get any help.
Thank you
Kindly let me go straight to the point,
Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information.
I feel like nachunguzwa
My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu kushika simu yangu anaweza kupata chat zangu za whatsap. Muhusika ni mtu wa IT
Ameshawahi kuniambia nikifanya madudu atayajua tu na atanionyesha ushahidi.
I have been flirting here and there, sasa ameanza maneno kama vile anajua ninacho kifanya. Kama Kuna uwezekano wa kuzuia asione chats zangu pia I will be glad if I get any help.
Thank you