TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,661
- 9,980
Tunateka, tunajiteka na tunatekwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iko salama tu hakuna shida ila Tanzania tunapenda maneno sana ya umbeya na udaku.
Nchi haina shida kabisa ila Dr Magufuli ana vita na wengi ktk system kimaslahi baada ya kubana njia zote za ufisadi.
Kwahiyo kuna mbinu nyingi zinatumika kudhoofisha utawala wake toka kwa mafisadi.
Number nazani zinasomeka vizuri sanaWatanzania ach tulie tu kwa ujinga wetu. Miaka yote tunalia maji umeme mashamba wanauziwa akina fulani madini yanaibwa tembo na faru wameisha twiga wanaibwa mchana. Yoote haya na mengine tunayalilia kila siku lkn ukifika ule wakati mkipewa pilau baai akili yote inahamia kwenye beseni. Tunasahau yote tunasema tunapenda kusoma namba. Acha tu tuchanganyikiwe kwakweli
Duh hivi unajielewa kweli wew?Nchi iko salama tu hakuna shida ila Tanzania tunapenda maneno sana ya umbeya na udaku.
Nchi haina shida kabisa ila Dr Magufuli ana vita na wengi ktk system kimaslahi baada ya kubana njia zote za ufisadi.
Kwahiyo kuna mbinu nyingi zinatumika kudhoofisha utawala wake toka kwa mafisadi.
Awaokowe nini?Bwana shuka utuokoe
Yote hapo ni majibuTunateka, tunajiteka na tunatekwa
Nchi iko salama kabisa hakuna shida,na wanaiona nchi ina shida ni wenye uchu wa Mali za nchi hii ambao kwa sasa hawana nafasi ya kuzipata kama ilivyokuwa awali.Duh hivi unajielewa kweli wew?
Hatumjui huyo BashiteMkuu:
Bashite nae fisadi?
Hakuna nchi iliyo salama wewe! Achana na kudumaza akili yako huku ukifumba macho eti nchi iko salama!
Hatumjui huyo Bashite
Hatumjui BashiteMkuu:
Usiwe mvivu wa kufikiri, jaribu kutumia fikra zako kidogo sana ktk duru za siasa zinazo endelea kwa sasa hapa nchini na hatimae utamjua huyo Bashite.
Hatumjui Bashite
Hata Bungeni nimemsikia Mh Mdee na Mh Sugu wanalitaja hili jina ndiyo najiuliza ni nani huyu.Mkuu:
Ha Ha Haaaaaaaaaaaaaa!
Hatumjui Bashiteeeeeeeee
Nani kakwambia kuwa anayehusika kutoa roho za watu anaitwa Israel?Ukiamka unasikia sijui Gwajima hujakaa sawa sijui Makonda na vyeti feki hujajipumzisha mara unasikia tena sijui Halima Mdee na Spika Ndugai ukiangaza angaza tena unasikia sijui mchanga wa dhahabu na mtu bado hujapumzika na unayatafakari hayo mara ghafla tena unasikia sijui akina roma wamefanywa nini.
In short Mimi Mtanzania mwenzenu nimechanganyikiwa na haya ya nadhani nahitaji counseling ya kutosha kwani naanza kwa mbali kuichukia Tanzania na huko tuendako kama hali hii haitaisha au kumalizwa nadhani itabidi tu nimkabidhi rasmi roho yangu Israeli aondoke nayo tu Mbinguni kwa Baba Mungu.
Ndugu zanguni na wana JF wenzangu Tanzania yetu imekumbwa na nini sasa? Mwenye hii hofu na wasiwasi ni Mimi peke yangu tu au?
Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie!
mashetaniMh Temba inabidi afanye remix lile song lake MWAKA WA SHETANI