M mandokwa JF-Expert Member Jun 5, 2013 620 865 Oct 19, 2017 #1 Jamani nawauliza kama mnataarifa juu ya minada ya korosho inaendeleaje? nadhani mwaka huu tutauza hadi 4000 kwa kilo.....
Jamani nawauliza kama mnataarifa juu ya minada ya korosho inaendeleaje? nadhani mwaka huu tutauza hadi 4000 kwa kilo.....
man of steel JF-Expert Member Jul 16, 2013 1,099 2,348 Oct 19, 2017 #2 Leo alhamisi kwa taarifa nilizonazo ndio minada inaanza
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,376 Oct 19, 2017 #4 ni kweli korosho imeshuka bei !?
mind ur bussness JF-Expert Member Dec 15, 2016 1,050 739 Oct 19, 2017 #5 Jiandae tu kwa buashara mkuu