Ebwana wakuu, hicho kikundi cha Maigizo cha CCM mbele ya kiongozi wao, Kikwete akijaanza kuigiza hapo Diamond?? waliokalibu tupeni leo kaja na igizo gani tena, maana naona maigizo yao hata joti na mpoki hawafikii
Huyu hakufaa kuwa president alitakiwa akajiunge na wasanii wa maigizo wa vikundi mbalimbali, anaweza sana sanaa na usanii
wadanganyika walijua hili lakini wakawa kichwa ngumu wacha waone wenyewe LIVE