my take kupungua ni kazi thats why kuna variety of products relating to slimming...
kuna mtu na akili timamu anaeweza kubisha hili kweli?????? Atakua sio mzima kiakili,, labda ni maleria sugu, rajeo, au ritz,,
Kupungua kiboko ,nilipungua kilo 15 kwa miaka mitatu ,now nimeongeza kilo tatu mwezi mmoja.
kuna mtu na akili timamu anaeweza kubisha hili kweli?????? Atakua sio mzima kiakili,, labda ni maleria sugu, rajeo, au ritz,,
ina maana hao jamaa ndiyo vilaza wa jf.
Bila kusahau Mbopo,mchaga25,Mwita25,thatha na wengineo.
Dah have been eating fr four yrs madikodiko yote mazuri, kyepe yai, kuku choma,firigisi, mapiza, burgers,hotdog, makaroni,bagia,sambusa, kababu,wali harage la nazi,supu utumbo, ulimi ,kongoro,mix,makange,makande,kishumba,choroko, mbaazi na makila kitu ila bado
Vyote kazi. Ila kuna dawa ya kupungua siku moja tu na kifikia ukubwa wa piritoni. ''Tembea na mdogo wa mke wako kisiri, kisha siku moja akuletee dokezo kwamba ni mjamzito''
Hii ni kwa wanaume walio owa.
.
Vyote kazi. Ila kuna dawa ya kupungua siku moja tu na kifikia ukubwa wa piritoni. ''Tembea na mdogo wa mke wako kisiri, kisha siku moja akuletee dokezo kwamba ni mjamzito''
Hii ni kwa wanaume walio owa.
.
Ilikuwaje?tuelezeee.ulipungua kivipi na uliongezeka kivipi