Jamani kina mama kwanini mpo hivi?

The Chosen One

JF-Expert Member
May 24, 2017
3,577
17,003
Salama jamani kama uzi unavyojieleza hapo kuna rafiki yangu wa kike kapata mchumba na wanamtoto mmoja hadi saivi mipango ya ndoa wanayotoka siku nyingi Ila tatzo ni mama wa mchumba wake(mama mkwe) hamtaki na hanasababu ya msingi zaidi ya hamuendani,binti mbaya,mara anatabia mbaya na zingine tu za ajabu ajabu na wameshindwa kufanya mipgango ya ndoa coz itakuwa ndoa ya ajabu mama mzazi anasema hata kwa mtutu hawatapata baraka zake labda wafunge akishatoka dunian ila kwa upande wa wazazi wa binti walikuwa tayari kwa ndo ila sasa nao hawataki wanasema hawataki binti yao hakateseke bure ila binti na jamaa wanapendana sanaa tu Naomba kuwauliza wazazi hasa kina mama ni wakwe wa aina gani mnawataka Maoni na ushauri unaruhusiwa kwa ajili ya huyu rafiki yangu kipenzi
 
yani mimi mwenzenu ndo mana kujulikana upande wa mwanaume wakati tuna date nilikuwa sitaki hata kusikia, siku ya kwanza kabisa kuonwa na ndugu wa mwanaume alienioa ni siku wamekuja kuleta mahari napo waliniona kwasababu ilikuwa pia ndo siku ya sherehe ya engagement, lakini isingekuwa ile engagement party wangenionea ukumbini, na kwa kuwa kwa mila zao wazazi wa mwanaume hawatakiwi kuja siku ya mahari basi wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza ukumbini siku ya sendoff na mimi ndo mara kwanza kuwaona, lakini hao mawifi na mashemeji mara kwanza tunaoana ni kwenye mahari basiiii mara pili kuonana nao ikawa kwenye sendoff na harusi baaasi.
 
kwani huyo jamaa anamfuata nani? mamaake, mchumba wake au akili yake mwenyewe? afuate msimamo wa anayempa first priority.
Mkuu jamaa kalelewa na mama pekee,kasomeshwa na mama,ndo anakaa na mama hata akioa lazima mke aje akae na mama ake
 
Kuna kisa kama hiki kilitokea jamaa ni wa kule kwetu Kwamtogole mtoto wa usuani yaani mama wa binti angekuwa na uwezo wa kifuta uhusiano lakini kulikuwa na mjukuu tayari. Mama alikuwa hataki mtoto aende Kwamtogole kwa baba yake eti atafundishwa tabia mbaya
 
yani mimi mwenzenu ndo mana kujulikana upande wa mwanaume wakati tuna date nilikuwa sitaki hata kusikia, siku ya kwanza kabisa kuonwa na ndugu wa mwanaume alienioa ni siku wamekuja kuleta mahari napo waliniona kwasababu ilikuwa pia ndo siku ya sherehe ya engagement, lakini isingekuwa ile engagement party wangenionea ukumbini, na kwa kuwa kwa mila zao wazazi wa mwanaume hawatakiwi kuja siku ya mahari basi wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza ukumbini siku ya sendoff na mimi ndo mara kwanza kuwaona, lakini hao mawifi na mashemeji mara kwanza tunaoana ni kwenye mahari basiiii mara pili kuonana nao ikawa kwenye sendoff na harusi baaasi.
ukawe mama bora kwa wanao na husiwaingilie katika mapenzi bali uwape ushauri tu
 
ndoa au mahusiano ni ya watu wawili pekee, hao ndo wanajua a b c d - z.....msimamo wa kijana wa kiume ndio unaotakiwa... kama anaendeshwa na mamake.... mwambie walee mtoto,,, ikibidi aongeze mwingine........hataishi kwa amani ikiwa wataishi na mama mkwe....
 
Ngoja waje wahusika kwa maana hata mimi nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini
Kuna kisa kama hiki kilitokea jamaa ni wa kule kwetu Kwamtogole mtoto wa usuani yaani mama wa binti angekuwa na uwezo wa kifuta uhusiano lakini kulikuwa na mjukuu tayari. Mama alikuwa hataki mtoto aende Kwamtogole kwa baba yake eti atafundishwa tabia mbaya
sijui wazazi wenyewe walichaguliwa na kina bibi na babu
 
Salama jamani kama uzi unavyojieleza hapo kuna rafiki yangu wa kike kapata mchumba na wanamtoto mmoja hadi saivi mipango ya ndoa wanayotoka siku nyingi Ila tatzo ni mama wa mchumba wake(mama mkwe) hamtaki na hanasababu ya msingi zaidi ya hamuendani,binti mbaya,mara anatabia mbaya na zingine tu za ajabu ajabu na wameshindwa kufanya mipgango ya ndoa coz itakuwa ndoa ya ajabu mama mzazi anasema hata kwa mtutu hawatapata baraka zake labda wafunge akishatoka dunian ila kwa upande wa wazazi wa binti walikuwa tayari kwa ndo ila sasa nao hawataki wanasema hawataki binti yao hakateseke bure ila binti na jamaa wanapendana sanaa tu Naomba kuwauliza wazazi hasa kina mama ni wakwe wa aina gani mnawataka Maoni na ushauri unaruhusiwa kwa ajili ya huyu rafiki yangu kipenzi
Jamaa aache uboya, abebe mzigo aweke ndani au bado anakaa kwa Mama?
 
Wazazi nao wakati mwingine hukosea, si kwamba hata kama hakuna kosa basi baraka utazikosa.
Wakati mwingine yafaa kufuata uamuzi binafsi
 
Back
Top Bottom