kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,404
- 3,358
Juzi niliandika Uzi hapa kuwa natafuta kazi ya upishi wengine walinicheka wengine wakanipongeza,sasa kuna mmoja aliniunganisha sehemu nimepata, mshahara mzuri 370000 nalala hapohapo, matibabu, hela ya sikukuu napewa na Leo ninavyosema nimewapikia wali maharage na kabichi, wamesifia sana, kabichi sijaweka maji wakashangaa sana, kesho nawapikia bwando na nguju,mboga ya kwetu tanga,ingawa juzi mlinitukana hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app