Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,612
- 71,197
😂😂😂😂 loh!Juzi niliandika Uzi hapa kuwa natafuta kazi ya upishi wengine walinicheka wengine wakanipongeza,sasa kuna mmoja aliniunganisha sehemu nimepata, mshahara mzuri370000 nalala hapohapo ,matibabu,hela ya sikukuu napewa ,na Leo ninavyosema nimewapikia wali maharage na kabichi,wamesifia sana,kabichi sijaweka maji wakashangaa sana,kesho nawapikia bwando na nguju,mboga ya kwetu tanga,nyie na madigree yenu subirini mradi ule wakuzalisha umeme uanze mpate kazi,nyie si wasomi bwana,nyie mmesoma wenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app