Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 49,856
Najua kupika vizuri sana mkuuSawa bwana msomi,ila jifunze upishi kwani waliosoma na wasiosoma wote lazima wale chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua kupika vizuri sana mkuuSawa bwana msomi,ila jifunze upishi kwani waliosoma na wasiosoma wote lazima wale chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kupika hoteli ya kitalii au kwa mtu binafsi mwenye watoto 1,000
Kitambo anatuektia yule mbonaMtanesco balaa lengine lile.ila kwa uzi aliouleta leo inaonekana anatuektia yupo timamu tena sana.
Mimi nimepata kazi kwa mzungu mjombaKwa kupika hoteli ya kitalii au kwa mtu binafsi mwenye watoto 1,000
Juzi nilivyosema natafuta kazi nikaambiwa kuwa nikasome,Maneno ya mkosaji. Sasa wenye madegree wanaingiaje hapa ?
Hapo nimekuelewa maana anapata pesa za kusafirisha madawa ya kulevya (mzungu). Ila chunga asikubebeshe hayo kadawa maana China wanaua
Ukipewa hela ya sikukuu unanunulia nini mwenzangu?
Chakula cha kupika unachagua wewe au wao.?
Rafiki nguju ni nini?
hongera sanaKuna ratiba imewekwa ila jumaamosi nachagua mimi