trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #21
Kuna kazi inafanyika kule mitaa ya Ohio !
I n a l i p a vizuri sana ! Na hasa ukiliotea gepu la kupata Foreigner customers.
But ukiwapata wa hanohano, pasua kichwa kwelikweli !
Unakuta sometyms mteja keshautwika kakulipa alafu hataki kuvaa mfuko ! Anataka finyango kw finyango !
Ukimrudishia mkwanja wake hataki kupokea !
Kazi hii hufanyika bila stress ukiipeleka Dom Bunge likiwa kikaoni.
Wacha bana...
Sema kazi hiyo ina shida kadhaa nayo:-
1. Ukipata mteja anayenuka sana mdomo(halitosis)
-au kanywa mibia,na anavuta misigara,basi huo mkorogo kero yake sasa..
2. Wanatumia(si wote) maviagra,au vitu kama hivyo na hivyo kumletea matatizo mtoa huduma..hata kama ni usiku mmoja lakini rounds zake hiyo kesho haitafika kabla hujaitiwa ambulance na ikibidi kulazwa kabisa..,
3. Kupatana na mtu mmoja na dau kuuubwa,ukiingia hotelini tu unakuta kumbe ni room ya double na kuna njemba nyingine inawapokea kwa furaha... Lazima ujue leo hapa kazi ipo..