Jamani karibuni Mombasa!

8431186256_d634d80fb6_b.jpg
Bado sijaona mkuu, labda utupie zingine, hivi vinaonekana havina shepu vile...teh!
 
Nilibahatika kutalii na kukaa kwa siku kadhaa maeneo ya TAWFIQ hospital. nakumbuka marashi ya mombasa!. sad to say i won't be back till 2020...
 
mpaka kesho najua mombasa si sehemu ya kenya, ni tanzania pure,.. tuliwapa hilo eneo kutokana hamkuwa na bandari, mshukuruni mwl nyerere,, wakenya wenyewe ni wabaya sana kwa sura si wanaume wala wanawake.
 
mpaka kesho najua mombasa si sehemu ya kenya, ni tanzania pure,.. tuliwapa hilo eneo kutokana hamkuwa na bandari, mshukuruni mwl nyerere,, wakenya wenyewe ni wabaya sana kwa sura si wanaume wala wanawake.
Haha funny juu nyi ndo wanaume na wanawake why dont you post your pic tukuone before ku jugde watu,aki una sound arrogant n illiterate kenya kuna tribes na zote zina differ,mkamba hafanani na mjaluo ,mkalenjin hafanani na mkikuyu,before utu judge kwanza tembea kenya,bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom