Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Jamani naombeni japo mnipe ka elimu kidogo kuhusiana na bajeti ili niweze kusavaivu katika sikukuu hizi zijazo za mwezi wa Desemba. Kamshahara kenyewe ni TGS.D na kabla ya tarehe 20 Desemba kuna mambo yafuatayo natakiwa nikamilishe.
1. Kuna kadi sita za harusi.............kiwango kwa kuwa nipo single kila moja elfu 20.
2. Kuna kadi ya mchango wa birthday ya mtoto wa mwenye nyumba mwisho tarehe 10 Desemba.
3. Kuna fomu ya mchango wa ujenzi wa ofisi ya CCM............hii nimepewa na bosi wangu, inabidi nichangie ili kuongeza imani mbele ya bosi, nisije nikakosa safari za kiofisi.
4. Kadi mbili za send-off.
Hapo ili kukamilisha hayo mambo yote hapo kamshahara kote kameisha.............wenye uzoefu huwa mnasavaivu vipi katika hali kama hii??
1. Kuna kadi sita za harusi.............kiwango kwa kuwa nipo single kila moja elfu 20.
2. Kuna kadi ya mchango wa birthday ya mtoto wa mwenye nyumba mwisho tarehe 10 Desemba.
3. Kuna fomu ya mchango wa ujenzi wa ofisi ya CCM............hii nimepewa na bosi wangu, inabidi nichangie ili kuongeza imani mbele ya bosi, nisije nikakosa safari za kiofisi.
4. Kadi mbili za send-off.
Hapo ili kukamilisha hayo mambo yote hapo kamshahara kote kameisha.............wenye uzoefu huwa mnasavaivu vipi katika hali kama hii??