nkosiyamakosini
Member
- Nov 4, 2010
- 83
- 2
Hongera Dr Slaa kwa ukomavu wa siasa, ila nadhani kuna tatizo la washauri wako wa karibu. Hivi inawezekanaje mawakala wasaini form 24A (provincial declaration) halafu wakwambie kura za jimboni zimechakachuliwa? Hii inatukanganya sana, ila imewapa changamoto tume kuwa makini na data, in fact there are some errors we can tolarate but not recurring mistakes.
Thanks
Thanks