Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 64,445
- 90,567
Naomba kujua wajameni, Obama amemtumia Kiwete salamu za pongezi mbona kuna vacuum ya pongezi toka balozi nyingii za Western World? je wamejua kilichotokea tayari au?
Masatellite yamewaonyesha jinsi alivyofanya ridging...hawana muda mchafu kupoteza kupongeza umafia!Naomba kujua wajameni, Obama amemtumia Kiwete salamu za pongezi mbona kuna vacuum ya pongezi toka balozi nyingii za Western World? je wamejua kilichotokea tayari au?
Wewe unacheza na intelligensia ya Obama atakuchekea leo ukivuruga hakujui kumbuka Kenya walipovuruga viongozi na familia zao wakapigwa stop kupata viza ya USA wakati yeye ni mzaliwa wa Kenya.Naomba kujua wajameni, Obama amemtumia Kiwete salamu za pongezi mbona kuna vacuum ya pongezi toka balozi nyingii za Western World? je wamejua kilichotokea tayari au?
Few hours is not an excuse Mugabe amewezaje kujua leo kuna inauguration ina maana US haina balozi wake hapa.Labda watatuma pongezi. After all,coronation ya Kikwete imefanyika just a few hours ago.
Labda watatuma pongezi. After all,coronation ya Kikwete imefanyika just a few hours ago.