Jamani joto limezidi,Je niende wapi this sunday?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Siyo siri jamani! Mwenzenu ninakufa na joto! Joto la safari hii hapa Dar sijapata ona.
Nawaombeni wataalam wa hili jiji la wajanja mnielekeze sehemu ambayo nitaenda kurifreshi
mind. Sehemu ambayo nitapata upepo mzuri wa bahari,vinywaji,lunch na hata dinner.Na hiyo
sehemu nitapenda iwe na usalama,maana nitakuwa na my laptop mkononi na Tsh,elfu 50 mfukoni.
Nawaombeni msaada wenu wapi niende. kijana wenu nimetoka mkoa kwahiyo bado ni mtega nyoka
tu ndani ya Dar!
 
UWANJA WA FISI...HIYO 50 YAKO WE MILIONEA PALE WAREMBO WATAKUPEPEA SIKU NZIMA HUTALIONA JOTO...:hungry:
 
Swali zuri lakini lipo mahala ambapo sio pake.... hili ni jukwaa la siasa, unless unataka kwenda kwenye mikutano ya siasa... anyway i think mods watakusaidia na kuamisha topic yako mpaka panapohusika.... So usinshangea ukija baadae ukaikosa post yako
 
Nenda cocobeach. Acha laptop home, vaa kandambili halafu beba msosi wako kabisa na kinywaji chako. Hiyo 50 utampa atakaekupepea kama upepo wa bahari hautatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom