LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Wajameni! WanaJF wenzangu! Kuna hbr nilizopata majira kidogo iliyokatika ya kwamba jana usiku majira ya saa 4 hapo ktkt ya njia ya toka Morogoro kuja Chalinze kuna ajali ya kusikitisha iliyosababisha basi la Sumry kugongana na Fuso Canter na kuna tetesi watu kadha hawajapoteza maisha ila wamejeruhiwa vibaya na dereva wa fuso na konda wa basi la Sumry wamelazwa. Source Radio one: