Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kah nimemkumbuka mwalimu wangu alikuwa full sifa
Tuliumia ila ilitujenga wale wa enzi hizo!
Kah nimemkumbuka mwalimu wangu alikuwa full sifa
Tuliumia ila ilitujenga wale wa enzi hizo!
Mkuu Kibo10 upo??Hatuonani jirani!!Huyo mwalimu hasikupa kisago husingekuwa hapa leo!Nawapenda walimu wangu jamani
Yule dogo huwa ananichekesha sana. alafu anaposema maneno hayo anaonekana mlevi ana manati anafundisha.mkuu umenikumbusha tangazo la haki elimu yule mwanafunzi wa shule ya awali anasema "mbona nyie mna nafuu, sisi wa awali hatuna waalimu wetu, tunafundishwa na mtu yeyote hata asiye kuwa mwalimu" sasa nikimuangalia huyo mwalimu mwenyewe mbavu zangu hukaribia kuvunjika
Ni mwalimu wa Physics.