Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 65
Wanaangalia "Ze Komedi"
hv ni Alumelu au Arumelu
Sisi kule Iringa hatuna R
Hata jina halisi la mkoa lilitakiwa kuwa LILINGA
IRINGA haina maana kabisa
Na wenzetu kule kaskazini hawana L
Utasikia Hivi umeshawahi panda MRIMA KiRImanjaro ati???
Semeji sangu washamba.
hv ni Alumelu au Arumelu
Edit basi uandike "Labda Alumelu" yaani umeiandika kitoto kweli kweli "laba alumelu" hahahahaha mhamhamhaaa
Kuna watu watu kama wanne hapo, wewe unamuongelea yupi? Hata kama Obama umekosea sana kwa sababu Obama is not the most influential person on earth, get your facts straight.The most influential person on earth.
Tatizo ni foleni barabarani. Dingi lazima adamke kuikwepa.I wish familia zetu za kibongo zingekuwa na Hata mda km Huo Wa kukaa pamoja atlist kwa dk10 mara moja kwa wiki,lakini mmmh,baba akiamka asubui watoto walishatimka kitambo mashuleni,akitoka job apite kwa hawala kwanza mpaka akifika home nane za usiku watoto wamelala,yaweza pita mwezi hajaona watoto wake!!Arghhhh