mbona warembo zaidi tupo au?
Pretta wewe ni kiboko zaidi ya huyo aliotajwa mamii.ni wa wapi.......?....niambie alipo nikuunganishie..........
Demu wa Mr fravour hyo asee...Jamani kama kuna mtu anae jua njia za ku mpata huyu dada anisaidie.
Mana kama sifa zote ninazo za kuwa nae.
Naweza honga hata pesa ya kupiga nae picha tu kama hatonipenda.
Jionyeshe alafu uone pm yako itakavyojaa fisi.mbona warembo zaidi tupo au?
najipodoa nije mazimaJionyeshe alafu uone pm yako itakavyojaa fisi.
Kalio mama... jamaa dizain anapenda wale wanaojambia mbali.Heeeehhh mkia upi mweeeehh?
Duhhhh haya mkuu asanteee usiku mwema!!!View attachment 450964
Huo ndio mkia mama angu.
Duhhhh.aiseeehh jf member siyo watu.wa kisport2 mweeeeh!!Kalio mama... jamaa dizain anapenda wale wanaojambia mbali.
Ww ni mrembo? Please,pm me namba zakombona warembo zaidi tupo au?
Mi napenda wale madem wenye malaika au wengine wanaita sharafa, ndo asili ya akina kidoti na chidnmabrother kwa kidoti u failed
Mbona wa kawaida.kweli mapenzi ni upofu.Jamani kama kuna mtu anae jua njia za ku mpata huyu dada anisaidie.
Mana kama sifa zote ninazo za kuwa nae.
Naweza honga hata pesa ya kupiga nae picha tu kama hatonipenda.