Jamani huyu dada anaitwa Chidinma nampenda kuliko maelezo

We Simba wa Arusha ongea na Joh Makini atakurahisishia namna ya kumpata.Mi hua nampenda sana Tiwa Savage nikiona video zake natamani niingie kwenye tv japo nimhug tu.
 
Jamani kama kuna mtu anae jua njia za ku mpata huyu dada anisaidie.
Mana kama sifa zote ninazo za kuwa nae.
Naweza honga hata pesa ya kupiga nae picha tu kama hatonipenda.
1e24b767b2dbf46ce4e6c1a69da83340.jpg
216300f5a4299492aa4c0e0f35b973ee.jpg
2f365939ef4feeb5dc31646c4361775c.jpg
Demu wa Mr fravour hyo asee...
Labda uende kwa shilole
 
Back
Top Bottom