hili suala la wabunge wa viti maalum binafsi linanichanganya. CCM chadema na cuf wanafurahia kupata wabunge hawa japo wanajua fika wamechaguliwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo (kuwa na uke).
wabunhe hawa sio siri wameichakachua sauti ya wananchi (demokrasia) ndani ya vyama hivi kwa kiwango kikubwa sana. hapa nitatoa mfano wa uchakachuaji kama ulivyo kwa chadema.
katika uchaguzi uliomalizika hivi punde, chadema ilipata wabunge 22 (wanaume 21 na mwanauke 1) wa kuchaguliwa majimboni, viti maalum ikapata 23 na nasikia wataongezewa viwili hivyo watakuwa na 25 (wote wanauke)!
!. hapa tunachakachua demokrasia au tunaimarisha?
2. hivi umaalum wa hawa wenzetu unatokana na nini?
3. kubagua watu kwa misisngi ya jinsia na kuwapa vyeo si kinyume cha katiba?
4. hawa wabunge wanamwakilisha nani officially huko dodoma kama kila jimbo lina mbunge wake?
wabunhe hawa sio siri wameichakachua sauti ya wananchi (demokrasia) ndani ya vyama hivi kwa kiwango kikubwa sana. hapa nitatoa mfano wa uchakachuaji kama ulivyo kwa chadema.
katika uchaguzi uliomalizika hivi punde, chadema ilipata wabunge 22 (wanaume 21 na mwanauke 1) wa kuchaguliwa majimboni, viti maalum ikapata 23 na nasikia wataongezewa viwili hivyo watakuwa na 25 (wote wanauke)!
!. hapa tunachakachua demokrasia au tunaimarisha?
2. hivi umaalum wa hawa wenzetu unatokana na nini?
3. kubagua watu kwa misisngi ya jinsia na kuwapa vyeo si kinyume cha katiba?
4. hawa wabunge wanamwakilisha nani officially huko dodoma kama kila jimbo lina mbunge wake?