Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Maria hii ni kwa wanaume tu jamani, PAW embu nisaidie hawa watu
Heheee unalo leo si umemtamni mwanamke hehe hehehe
Maria hii ni kwa wanaume tu jamani, PAW embu nisaidie hawa watu
Ammege??
Ni kweli huyo dada hana kosa lakini jamaa kazidiwa, ili kulinda heshima yake amuondoe kwa nia njema lakini!<span style="font-family: comic sans ms">Huyu binti sioni kosa lake hadi atimuliwe. Ukisoma hii habari inaonekana kabisa huyu mtoto kamchanganaya baba mwenye nyumba na kutokana na na yeye kujua keshamchanganya mtu anataka kujaribu "bahati yake". Chanzo ni yeye hivyo ana hiari ya kubadilika aache kupepesa macho juu juu then ataona mabadiliko mimi sioni sababu ya kumvictimize kwa hisia tu.</span>
Well said. Akifuata huu ushauri, ndoa itabaki salama salimin na huyo shetani anayemjaribu atashindwa!Huku utaambiwa 'upasue jipu,' bora muhadithie Mkeo. Mwambie 'ibilisi' anakujaribu ubavu.
Mi mwanaume suruali (nimevaa suruali) kwahiyo nachangia!
We kama unataka kujua namna ya kumweka mbali na wewe kweli bila kufukuza (vile unamwonea huruma) mweleze mkeo akusaidie.Kama ni mwelewa ataongea nae amwambie kwamba hapo kwenu yupo kufanya kazi na sio vinginevyo.Hivyo akili yake yote aiweke kwenye kazi lasivyo mtamrudisha kwao akawe mchungaji!!!
<br />heri yangu mimi si mkeo
<span style="font-family: comic sans ms">Ish! Kumbe mkivaa suruali mna assume ninyi wanaume sioe!! Hapo kwenye nyekundu.... Siku mama akilisikia tena toka kwa mumewe kwamba naye pasipo na shaka keshanote kuwa mtoto anataka... ndo mwisho wa hako kabinti kuishi hapo... katafungiwa vinguo vyake kwenye rambo then hata glasi alizovunja atalipishwa then kijijini the very day!
</span>
Sasa hapa aondoke na ushauri gani...make naona kama unapuliza huku unang'ata..ushauri wangu...ebwana mng'ate huyo housegirl...afu wasingida wanakuwaga waukweli mwana...sioni tofauti kama unang'ata nje..kwa nn usinag'ate ndani???...upele unawapata wasio nakucha..aaaiiiiiMpwa piga ua lazima na wewe ulikua/una interest nae bhana, si vyema kukushauri ulale nae lakini pia usipofanya hivyo unajiweka mazingira magumu zaidi, ya kudharauliwa na uwezekano wa kujengewa zengwe. Kusema ukweli ni kwamba lazima umemchokoza na yeye akakuonyesha kuwa "nimekusoma mkuu" ila ukashindwa kumalizia cross iingie golini.
Lala nae kaka, kwa nini ufuate mawindo mbali wakati nyama ikonyumbani hapo ila wakati unachukua ushauri wanguu huu, jiulize maswali mawili; Je ungekua wewe ndio mkeo anafutwana Mlinzi/shamba boy ungejiskiaje? pili, je mbele za Muumba wako unashuhudiwa nini moyoni? Tatu, je vipi wanao (sio mkeo) wakijua tabia za baba yao kuwa ni za kama beberu? kila la heri Mpwa, baada ya kuwaza hayo, nakushauri sasa leo usiku, vua viatu/kandambili, chonga nae dili asifunge mlango halafu nyata taratibu ukale tunda kisha ukimaliza you will regret for the rest of your life kila umwonapo mkeo.
Mkuu upo
Long time
Tumekosa busara zako sana kaka
Natamani kumtimua lakini namuonea huruma, kwani baada ya kufeli form four baba yake alimwambia kazi yake itakuwa kuchunga ng'ombe, sasa kumfukuza naona ndio ataishia huko
Kuna yule ulitaka kumbaka kesi yenu iliishia wapi?
:car:................................