Jamani Housegirl wangu Huyu, Ananitafuta ubaya! (STRICTLY KWA WANAUME TU)

Kitakachofata hapo kwao kama hautakuwa makini ni muvi ya suicide mission. Mkemee huyo shetani kabla mambo hayajaharibika.

Kumbuka una watoto wanne, uko tayari walelewe na mama wa kambo kisa house girl alikuzingua ukaingia line?

Just ignore her na kuwa mkali ili arudishe heshima.
 
Kwa jinsi ulivyoelezea tayari umeshamtamani na unajiuliza kama umege ama la,na tayari msimamo wako umetetereka,ila fahamu kua hakuna mpya kwa h/girl,so that achana na mawazo ya ajabu,jitahidi kuwa karibu sana na mkeo jiwekee fikra kuwa mkeo ni bora kuliko wanawake wote duniani!
 
Chonde Chonde,ngono nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani naomba ushauri kuhusu hili.

Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto wanne. Hivi karibuni tumepata housegirl mpya kutoka Singida, amemaliza form four hakubahatika kuendelea na masomo kwa sababu ya kukosa sifa za shule za serikali. Ni mzuri wa kawaida, yaani hana muonekano ule wa mahousegirl-naamaanisha muonekano choka mbaya kweli anafaa hata kuwa mke wa mtu. Katika historia yangu sijawahi hata siku moja kutembea na housegirl na mpaka sasa nishaajiri hao h/girl si chini ya 6, huwa niko very serious na sitaki mazoea nao hata kidogo.

Huyu amekuja naona anataka kuniangusha katika msimamo wangu huu. siku ya kwanza kutambulishwa kwake alionekana kushituka sana ingawa na mimi kwa ndani nilimkubali kuwa mzuri. Maisha yakaendelea na siku zikafunguka. Sasa toka siku hiyo amekuwa anakosa sana sana tu confidence ninapokuwa nyumbani, mara atajikwaa, mara ataogopa kuja mbele yangu n.k mbaya zaidi ninapokuwa peke yangu lets say wengine wapo mbali ananichangamkia sana na kutabasamu muda wote kila nitakalooongee yeye anatabasamu hata kama si la kufurahisha, nikimtuma kitu ataniletea wakati napokea anainua kichwa kuniangalia kiuchokozi halafu anatabasamu, basi na mimi nikawa natabasamu. Ikitokea labda nimerudi nyumbani na nahitaji chakula mapema atanipikia vizuri sana wakati mwingine anongeza kitu ambacho hakikupangwa kwenye ratiba ya chakula cha siku hiyo, anaweza kunkaangia mayai au akachemsha chai ya maziwa akaweka na viuongo haraka haraka na kunipatia chakula.

Tatizo, wife keshamshitukia hizo nyendo zake, amekuwa kila mara ananiuliza kuhusu mtu huyu, anasema mbona fulani ukiwepo anakuwa hana confidence nikamwambia mi sijui embu muulize alipomuuliza akamjibu wife kuwa eti ananiogopa kwa sababu aliambiwa na mlinzi mi ni mkali sana achunge asinikorofishe. Lakini ukiangalia mapozi yake kwangu si ya mtu anayemuogopa. Si hizi ameongeza zaidi, kunisalimia/kuniamkia kwake imekuwa ngumu sana ni mara mojax2 sana. Mi kwa ujumla ni mtu nisiyejali vitu vidogo vidogo na nilichojaribu kufanya ni kuwa mbali nae, nimeongeza kuwa serious, na wakatui mwingine nakuwa mkali ninapoongea nae ili awe mbali nami au afute hicho anachofikiri au kukitafuta, Lakini nahisi ananitafuta ubayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Nimfanyeje? au nifenye lakini nahisi kujidhalilisha kwa mah/girl!

Watu wengine bana, shame on you.... We we uzuri au u choka mbaya wa house girl unakuhusu nini? Dhumuni la kumleta hapo nyumbani kwako wewe hulijui? Hebu funguka wewe uache kuaabisha wanaume na kumdhalilsha mkeo. Hapo kwenye red... unahisi kujizalilisha au umeshajizalilisha, unavyomtolea huyo mtoto wa watu mimacho kwa matamanio ni dhambi kubwa- ili hali wewe mwenyewe uliapa kutokujishughulisha na wengine. Ntarudiiiiiiiiii tena
 
Mtimue haraka sana...

Natamani kumtimua lakini namuonea huruma, kwani baada ya kufeli form four baba yake alimwambia kazi yake itakuwa kuchunga ng'ombe, sasa kumfukuza naona ndio ataishia huko
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jaribu tu kuonja, halafu unampiga kazi kikweli! Atakuogopa na mazoea yataisha!
 
Natamani kumtimua lakini namuonea huruma, kwani baada ya kufeli form four baba yake alimwambia kazi yake itakuwa kuchunga ng'ombe, sasa kumfukuza naona ndio ataishia huko

La kumsaidia mpe kiasi ambacho kitamtosha kuendelea na masomo yake then aondoke nyumbani kwako maana unavyoongea hapa inaonekana na wewe huna nia ya kumtimua ila unataka kujishindia
Shame on you
 
Watu wengine bana, shame on you.... We we uzuri au u choka mbaya wa house girl unakuhusu nini? Dhumuni la kumleta hapo nyumbani kwako wewe hulijui? Hebu funguka wewe uache kuaabisha wanaume na kumdhalilsha mkeo. Hapo kwenye red... unahisi kujizalilisha au umeshajizalilisha, unavyomtolea huyo mtoto wa watu mimacho kwa matamanio ni dhambi kubwa- ili hali wewe mwenyewe uliapa kutokujishughulisha na wengine. Ntarudiiiiiiiiii tena

Hii ni kwa wanaume tu pleeaseeeee! but mchango wako nimeuchukua ingawa umevunja masharti
 
Natamani kumtimua lakini namuonea huruma, kwani baada ya kufeli form four baba yake alimwambia kazi yake itakuwa kuchunga ng'ombe, sasa kumfukuza naona ndio ataishia huko
Timua tu ulinde heshima yako au tafuta namna yoyote ya kumsaidia lakini asikae hapo kwako!
 
Natamani kumtimua lakini namuonea huruma, kwani baada ya kufeli form four baba yake alimwambia kazi yake itakuwa kuchunga ng'ombe, sasa kumfukuza naona ndio ataishia huko

kwa hiyo unataka kmfanya mke wa pili????!!!!

Samahani uzalendo umenishinda
 
Jamani naomba ushauri kuhusu hili.

Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto wanne. Hivi karibuni tumepata housegirl mpya kutoka Singida, amemaliza form four hakubahatika kuendelea na masomo kwa sababu ya kukosa sifa za shule za serikali. Ni mzuri wa kawaida, yaani hana muonekano ule wa mahousegirl-naamaanisha muonekano choka mbaya kweli anafaa hata kuwa mke wa mtu. Katika historia yangu sijawahi hata siku moja kutembea na housegirl na mpaka sasa nishaajiri hao h/girl si chini ya 6, huwa niko very serious na sitaki mazoea nao hata kidogo.

Huyu amekuja naona anataka kuniangusha katika msimamo wangu huu. siku ya kwanza kutambulishwa kwake alionekana kushituka sana ingawa na mimi kwa ndani nilimkubali kuwa mzuri. Maisha yakaendelea na siku zikafunguka. Sasa toka siku hiyo amekuwa anakosa sana sana tu confidence ninapokuwa nyumbani, mara atajikwaa, mara ataogopa kuja mbele yangu n.k mbaya zaidi ninapokuwa peke yangu lets say wengine wapo mbali ananichangamkia sana na kutabasamu muda wote kila nitakalooongee yeye anatabasamu hata kama si la kufurahisha, nikimtuma kitu ataniletea wakati napokea anainua kichwa kuniangalia kiuchokozi halafu anatabasamu, basi na mimi nikawa natabasamu. Ikitokea labda nimerudi nyumbani na nahitaji chakula mapema atanipikia vizuri sana wakati mwingine anongeza kitu ambacho hakikupangwa kwenye ratiba ya chakula cha siku hiyo, anaweza kunkaangia mayai au akachemsha chai ya maziwa akaweka na viuongo haraka haraka na kunipatia chakula.

Tatizo, wife keshamshitukia hizo nyendo zake, amekuwa kila mara ananiuliza kuhusu mtu huyu, anasema mbona fulani ukiwepo anakuwa hana confidence nikamwambia mi sijui embu muulize alipomuuliza akamjibu wife kuwa eti ananiogopa kwa sababu aliambiwa na mlinzi mi ni mkali sana achunge asinikorofishe. Lakini ukiangalia mapozi yake kwangu si ya mtu anayemuogopa. Si hizi ameongeza zaidi, kunisalimia/kuniamkia kwake imekuwa ngumu sana ni mara mojax2 sana. Mi kwa ujumla ni mtu nisiyejali vitu vidogo vidogo na nilichojaribu kufanya ni kuwa mbali nae, nimeongeza kuwa serious, na wakatui mwingine nakuwa mkali ninapoongea nae ili awe mbali nami au afute hicho anachofikiri au kukitafuta, Lakini nahisi ananitafuta ubayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Nimfanyeje? au nifenye lakini nahisi kujidhalilisha kwa mah/girl!
Cheza kwingine - usijaribu hata kumtania, nakushauri umtimue kwani waweza jisaau ukamlamba ikawa noma kwa mkeo
 
Timua tu ulinde heshima yako au tafuta namna yoyote ya kumsaidia lakini asikae hapo kwako!

Huyu binti sioni kosa lake hadi atimuliwe. Ukisoma hii habari inaonekana kabisa huyu mtoto kamchanganaya baba mwenye nyumba na kutokana na na yeye kujua keshamchanganya mtu anataka kujaribu "bahati yake". Chanzo ni yeye hivyo ana hiari ya kubadilika aache kupepesa macho juu juu then ataona mabadiliko mimi sioni sababu ya kumvictimize kwa hisia tu.
 
Back
Top Bottom