nawasabahi kutoka moyoni, natumai mu wazima wa afya njema.
Naombeni mnisaidie jinsi ya kumsaidia huyu binti yangu apate ahueni ya mzigo wa mawazo yanayomfanya alie kila cku. Kisa ni hiki.
Nilikuwa nakaa nae ktk mkoa flani,wakati wa likizo nilikwenda nae dar kwa mapumzko. Tukiwa huko alifahamiana na kijana mmoja na akamwambia anataka kumuoa, likizo ikaisha tukarudi mkoa, kwa kipindi chote hcho ckuwa nafahamu chochote, juzi ndg yake toka kjjn, alinipigia na kunieleza kuhsu uchumba wa huyo kjna na huyu binti kuwa tarehe 22.9. Wanapeleka posa, nikasema ouuk. Sasa leo baada ya kutoja job, binti kaangua kilio kikubwa sana nikajua kafiwa.....oooooooh shittt, akanionyesha sms toka kwa mchumbake kuwa hatamuoa tena wazazi wake wamekataa. Binti analiaa atawaambia nn ndg zake hali wanajiandaa kwa trh 22.9. Nimejitahd kumshauri chozi halikatki. Msaada tafadhali na poleni kwa ujumbe mrefu.
Naombeni mnisaidie jinsi ya kumsaidia huyu binti yangu apate ahueni ya mzigo wa mawazo yanayomfanya alie kila cku. Kisa ni hiki.
Nilikuwa nakaa nae ktk mkoa flani,wakati wa likizo nilikwenda nae dar kwa mapumzko. Tukiwa huko alifahamiana na kijana mmoja na akamwambia anataka kumuoa, likizo ikaisha tukarudi mkoa, kwa kipindi chote hcho ckuwa nafahamu chochote, juzi ndg yake toka kjjn, alinipigia na kunieleza kuhsu uchumba wa huyo kjna na huyu binti kuwa tarehe 22.9. Wanapeleka posa, nikasema ouuk. Sasa leo baada ya kutoja job, binti kaangua kilio kikubwa sana nikajua kafiwa.....oooooooh shittt, akanionyesha sms toka kwa mchumbake kuwa hatamuoa tena wazazi wake wamekataa. Binti analiaa atawaambia nn ndg zake hali wanajiandaa kwa trh 22.9. Nimejitahd kumshauri chozi halikatki. Msaada tafadhali na poleni kwa ujumbe mrefu.