semali kisenga
Member
- Feb 8, 2011
- 14
- 2
Mi naona tatizo ni ukosefu mkubwa wa ajira na uongozi mbovu wa chuo kuita watu wote tulioapplly.
Tufanye nini basi: kwa wale wenye nauli zao waende huko kwa tusionazo kukopa kwa ajiri hii uwezewekano wa kudaiwa/kutolipa mkubwa.
muhimu: Ikiwemo tanzania soko la ajira linatanuka sana tutaanza kuitwa kwenye interview za dunia nzima tuanze kusoma hizi nyakati na kujiandaa na mashindano hayo hasa soft skills ambalo ni tatizo kubwa kwetu graduate wa tanzania.
SAFARI NJEMA MNAOELEKEA HUKO...MAOMBI YANGU NI KWAMBA WALE WENYE SIFA NA SIO BAHATI AU VINGINE!!!!!!!!
WENYENCI NDO TUTAKAO IJENGA TANZANIA.
Tufanye nini basi: kwa wale wenye nauli zao waende huko kwa tusionazo kukopa kwa ajiri hii uwezewekano wa kudaiwa/kutolipa mkubwa.
muhimu: Ikiwemo tanzania soko la ajira linatanuka sana tutaanza kuitwa kwenye interview za dunia nzima tuanze kusoma hizi nyakati na kujiandaa na mashindano hayo hasa soft skills ambalo ni tatizo kubwa kwetu graduate wa tanzania.
SAFARI NJEMA MNAOELEKEA HUKO...MAOMBI YANGU NI KWAMBA WALE WENYE SIFA NA SIO BAHATI AU VINGINE!!!!!!!!
WENYENCI NDO TUTAKAO IJENGA TANZANIA.