Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Nahisi huyu Gembe ni mwl hapo hapo UDSM nashangaa sometimes ni mwenye mawazo mazuri lakini somedays akikujibu,Mkuu inaonekana hujawahi kusoma vyuo vya hapa hujui kinachoendelea mule ndani......hakuna wahuni mafisadi,mabazazi kama walimu wa Mlimani.....Toa kitu kidogo hasa kwa dada zetu na kama kapigwa buti basi lazima mlijue jiji......
utadhani mmegombana. Kama nilivyosema si ajabu ni yeye yule yule aliyekukamata. ahahahahahahahahahha