Jamani hivi wanaume mnataka nini kwa wanawake?

Umevurungwa na mwanamme mmoja unakuja kututuhumu wanaume wote really?????kumbukeni hata nyie mna yenu kibao,tukianza na niliyenaye.Tunavumiliana tu otherwise kusingekuwa mahusiano ya kudumu zaidi ya hit and run.
 
Back
Top Bottom