BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu zuri sana
Mhhhhh.unanitamanisha unajua....ahaaaaashhHuyo akupendi njoo kwenye eden ya mapenzi huku...utakula pepo mpaka ujute kwanini hukunijua mapema...Love where mans phone is free, No lies, No excuses, All time available na mengine yote unayotamani!
Wanawake wa miaka hii wamekuwa wa binafsi sana anataka wa kwake peke yake hawaonei wenzake huruma wakati mpo wengi kuliko sisi, mbona zaman haya mambo kulialia hayakuwepo wazee walikuwa wanajipigia tu mdogo mdogoTamaa kaumbiwa binadamu na mapungufu pia kaumbiwa binadamu huwezi jua utakuta katika yote hayo uliyonayo / unayoyafanya bado kuna mapungufu unayo.
Na pia kuna baadhi ya wanaume hawajaumbwa kuridhika hata ufanye nini. Hivyo akili kumkichwa my dear.
Nipo so real, karibia p.m tu mamii
Chula
Aweke nimwambie kama yanatosha au la!!!Unataka kuona picha ya makalio eh Mkuu!?
hata wenye tako wanateseka tu
KabisaSio wanaume wote tupo hivyo bibie
Ndio mkuu.... Kwenye chura mmoo, kwenye chuchu mmoo, kwenye macho mmoo, kwenye mwanya mmoo.... Sasa naona kuna papuchi mtuno namo mmoo sa tuelewe lipi mkuuUnasema kweli?
Ila kazi kweli kuishi nao hawa wababa kama watusemavyo nasi ndo hivyo hivyo na wao. Ila akikupenda kweli rahaa sana