Kweli amin hivyoNaona muhindi mwenzao kaja kuwatetea
Vipi ile ya dawa ya mswaki, nayo ulii-apply?Siku hizi huwa naziheshimu thread zako, Mara baada ya kuzifamyia kazi nikaona zina work hasa zile za jukwaa la mambo yetu ya 6*6. Natumiaga triek zako kukamata warembo nimekuwa fundi mnooo.
Ukianzisha uzi muwe mnamuwekea sharti huyu Joseverest ! imekuwa too much.ila na wewe khaa hupitwi.
Okay!Tatizo vile wanavyosuasua mpaka wengine utakuta wananifuata niwakopeshe ili wakalipe mkopo(unaona mkanganyiko ulipo?) mpaka naamua kuwasaidia tu.
Ishu inakuja kama wanaweza kujitahidi kurejesha rejesho kila wik(japo kwa kusuasua)
kwanini baada ya mkopo kuisha wasiendelee utaratibu wa kujiwekea kima/kiwango sawa na kile walichokuwa wapeleke kwenye mkopo, na baada ya muda zile hela wakazitumia kwenye hayo malengo yao mengine?? Why why
Sasa yale maagano ambayo wanawapa wanachama wao wayasome ni yanini? Huenda ikawa ndio njia ya kurudishana nyumaKuondoa wasiwasi ukichukua hela zao, peleka benki au mawakala wa fedha wa simu halafu ukatoe sehemu nyingine utakuwa na pesa za benki sio za Muhindi!