HASA nyani, unakuta baadhi ya wanyama hawana hofu wala woga wanapomwona mwanamke hata awe mtu mzima vipi. wanyama wengine ni kama vile mbuzi dume, unakuta beberu anadiriki hata kuchomoa uume wake anapomwona mwanamke. ndipo ninapojiuliza
1.wanawezaje kuwatofaut isha binadam kwa jinsi zao?
2.je wanafahamu kuwa mwanamke ni mtu dhaifu kama tunavyoamini binadamu wengi?
2.na kama wanaamini hvyo,ni udhaifu upi wanaoamini wao?
ni hayo tu.
1.wanawezaje kuwatofaut isha binadam kwa jinsi zao?
2.je wanafahamu kuwa mwanamke ni mtu dhaifu kama tunavyoamini binadamu wengi?
2.na kama wanaamini hvyo,ni udhaifu upi wanaoamini wao?
ni hayo tu.