Jamani hivi hili la kubadili chuo ulichopangwa na TCU linawezekana kweli!

talentboy

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
2,101
2,051
wana jf nlkuwa naomba uhakika juu ya hili suala,kama kuna mtu ana info za kutosha naomba anijuze,coz nataka kuchange chuo frm udom to udsm.Naomba msaada wenu wakuu.Nawasilisha.,bt tafadhali naomba habari za uhakika.
 
Matokeo yako yakoje kwanza,na unataka kuja udsm kwa coz gan?
 
Matokeo yako yakoje kwanza,na unataka kuja udsm kwa coz gan?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mi nna div 1 ya point 9 mkuu,na kozi nnayoitaka hapo udsm ni same na niliyopangiwa udom ambayo ni LLB.kama kuna msaada wowote ambao waweza kunipa tusaidiane tafadhali.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mi nna div 1 ya point 9 mkuu,na kozi nnayoitaka hapo udsm ni same na niliyopangiwa udom ambayo ni LLB.kama kuna msaada wowote ambao waweza kunipa tusaidiane tafadhali.
mkuu div 1-9 LLB udsm huwezi pata labda Tumaini University
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mi nna div 1 ya point 9 mkuu,na kozi nnayoitaka hapo udsm ni same na niliyopangiwa udom ambayo ni LLB.kama kuna msaada wowote ambao waweza kunipa tusaidiane tafadhali.
<br />
<br />
au ruka saut.
 
Kwanini ulijaza chuo ambacho haukipendi?. Kuna vyuo ni simple sana kuhamia ila udsm sidhani.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hata udsm co pagumu ilimradi angekua amefksha points wanazoztaka!
<br />
<br />
udsm sio rahisi kwasababu, huwa vyuo vina specific number of student per course.
Ili wakupokee ni lazma kuwe na upungufu. Wanafunzi wengi wanaoomba mlimani wanakuwa na vigezo, so kwa kiasi kikubwa mlimani wanafikia malengo yao. Ila kuna baadhi ya vyuo hawafikii malengo kutokana na idadi ya wanafunzi walioomba.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
udsm sio rahisi kwasababu, huwa vyuo vina specific number of student per course.<br />
Ili wakupokee ni lazma kuwe na upungufu. Wanafunzi wengi wanaoomba mlimani wanakuwa na vigezo, so kwa kiasi kikubwa mlimani wanafikia malengo yao. Ila kuna baadhi ya vyuo hawafikii malengo kutokana na idadi ya wanafunzi walioomba.
<br />
<br />
na vle vle kumbuka kuna wanao chaguliwa udsm wakahtaji kuhamia vyuo vingne au wengne huwa hawaji kabisa,so nafas nying znabaki wazi mkuu.
 
nenda kaulize kama nafasi ipo mkuu, mimi kuna m2 namfaham kapata iyo LLB na anayo iyo point 9 + mkopo.. nenda jaribu bahati yako
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
na vle vle kumbuka kuna wanao chaguliwa udsm wakahtaji kuhamia vyuo vingne au wengne huwa hawaji kabisa,so nafas nying znabaki wazi mkuu.
<br />
<br />
huwa ni rare case sana mwanafunzi kuchaguliwa udsm then akaamua kwenda chuo kingine. Labda kwa hii system mpya ya tcu sipo familiar nayo.
 
Cdhan kama itawezekana cz tcu walisema kwa hii system mpya,haifai kubadilisha course au chuo ulichopangwa..
 
duh!ngoma ngumu,ila jamani kama kuna mtu yupo karibu au kama anaweza kuwafikia hao jamaa wa udsm naomba aniulizie hz nafasi km zp ili kma zp nianze kufanya michakato mapema nijaribu bahati yangu.Mi niko nao mbali kdg(znz)au km kuna hotline zao ambazo munaweza kunipatia itakuwa poa pia.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
na vle vle kumbuka kuna wanao chaguliwa udsm wakahtaji kuhamia vyuo vingne au wengne huwa hawaji kabisa,so nafas nying znabaki wazi mkuu.
<br />
<br />
Hili kwel linawezekana..sasa mkuu km kuna uwezo wa kuwafikia hao jamaa,naomba uniulzie hili suala ili nijue imekaaje
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hata udsm co pagumu ilimradi angekua amefksha points wanazoztaka!
<br />
<br />
Kuhusu hili la points sidhani kama ni tatizo sana maana kuna mpk wa div 2 na wamebebwa kama kawa!
 
Kwanini ulijaza chuo ambacho haukipendi?. Kuna vyuo ni simple sana kuhamia ila udsm sidhani.
<br />
<br />
Unajua nn mkuu,mi my 1st choice ilkuwa ni algeria 2nd udsm,bt badaye nlipokuja kufungua akaunti yangu nikakuta algeria na udsm wamezifuta na kunibakishia prgrams 6 tu,si unajua tena mambo ya mitandao mkuu.
 
Back
Top Bottom