<br /><br />Matokeo yako yakoje kwanza,na unataka kuja udsm kwa coz gan?
mkuu div 1-9 LLB udsm huwezi pata labda Tumaini University<br /><br />
<br /><br />
Mi nna div 1 ya point 9 mkuu,na kozi nnayoitaka hapo udsm ni same na niliyopangiwa udom ambayo ni LLB.kama kuna msaada wowote ambao waweza kunipa tusaidiane tafadhali.
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mi nna div 1 ya point 9 mkuu,na kozi nnayoitaka hapo udsm ni same na niliyopangiwa udom ambayo ni LLB.kama kuna msaada wowote ambao waweza kunipa tusaidiane tafadhali.
<br />Kwanini ulijaza chuo ambacho haukipendi?. Kuna vyuo ni simple sana kuhamia ila udsm sidhani.
<br /><br /><br />
<br /><br />
hata udsm co pagumu ilimradi angekua amefksha points wanazoztaka!
<br /><br /><br />
<br /><br />
udsm sio rahisi kwasababu, huwa vyuo vina specific number of student per course.<br />
Ili wakupokee ni lazma kuwe na upungufu. Wanafunzi wengi wanaoomba mlimani wanakuwa na vigezo, so kwa kiasi kikubwa mlimani wanafikia malengo yao. Ila kuna baadhi ya vyuo hawafikii malengo kutokana na idadi ya wanafunzi walioomba.
<br /><br /><br />
<br /><br />
na vle vle kumbuka kuna wanao chaguliwa udsm wakahtaji kuhamia vyuo vingne au wengne huwa hawaji kabisa,so nafas nying znabaki wazi mkuu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
na vle vle kumbuka kuna wanao chaguliwa udsm wakahtaji kuhamia vyuo vingne au wengne huwa hawaji kabisa,so nafas nying znabaki wazi mkuu.
<br />Kwanini ulijaza chuo ambacho haukipendi?. Kuna vyuo ni simple sana kuhamia ila udsm sidhani.