GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,444
- 108,550
Wakubwa sijielewi kwani dakika tano ( 5 ) zilizopita na hata hivi ninavyoandika nimekumbwa na tatizo la ghafla ambapo Macho yangu yanawasha sana huku yanatoa machozi na siwezi ona kwa mbali. Je kuna wengine limewakumba au ndiyo tayari Mwenyezi Mungu labda anaanza kunihukumu huku huku Duniani labda kwa dhambi zangu na nikienda tu Mbinguni akanibanike tu motoni?
Naombeni msaada wa tiba ya haraka na nitawashukuruni Wapendwa.
Naombeni msaada wa tiba ya haraka na nitawashukuruni Wapendwa.