Jamani hili ni tatizo?

solanum

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
203
99
Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo?
 
Daaaaah jamani manii kwenye haja kubwa??? Bora ungesema hata haja ndogo aiseee...... Af ww umejuaje kama ni manii?? Labda ni juc mucus inatoka na linaweza kua tatizo la mfumo wa utumbo na tumbo kwa ujumla hasa maambukizi ya bacteria anyway nenda hospital ukacheki mkuu
 
Ila small amount of mucus sio tatizo ni normal ila kama ninkwa kiasi kikubwa inaweza kua candida au inflammations ktk GIT nenda hospital kafanye organic acids test pamoja na Gi effect tool test....... Na pia punguza kula acidic food sana maana zinasababisha mucus secretions kuwa kubwa

Ni hayo tu mkuu
 
Choo chetu kiko salama kwel
Hajasema akilala usiku anaota ndoto gani?Pengine popobawa ashampitia so ndio katika kutoa taarifa.Sasa naona kama anataka kukosea hv maana taarifa inabidi aitoe vizuri sio kiujanja ujanja namna hii.Labda kama anafurahia kuchimbwa choo na popobawa,ataendelea kutoka manii na akichelewa ataleta uzi wa kuanza kula embe mbichi mixer kupenda ugwadu mtoto wa kiume....
 
Hajasema akilala usiku anaota ndoto gani?Pengine popobawa ashampitia so ndio katika kutoa taarifa.Sasa naona kama anataka kukosea hv maana taarifa inabidi aitoe vizuri sio kiujanja ujanja namna hii.Labda kama anafurahia kuchimbwa choo na popobawa,ataendelea kutoka manii na akichelewa ataleta uzi wa kuanza kula embe mbichi mixer kupenda ugwadu mtoto wa kiume....
punguza utani unaolekea kune ukweli mkuu nilikuwepo...
 
punguza utani unaolekea kune ukweli mkuu nilikuwepo...
Acha kabisa maana naona kijana anataka kumletea ujanja ujanja Popobawa,hapendi ujinga Mr Popo labda kama anafurahia Mr Popo kufanya kazi yake.Afute uzi alete uzi wa kukubali kugegedwa na Mr Popo,hatoona tena manii.....
 
Ila small amount of mucus sio tatizo ni normal ila kama ninkwa kiasi kikubwa inaweza kua candida au inflammations ktk GIT nenda hospital kafanye organic acids test pamoja na Gi effect tool test....... Na pia punguza kula acidic food sana maana zinasababisha mucus secretions kuwa kubwa

Ni hayo tu mkuu
Hivyo vya kula Acid ni vp hivyo
 
Hajasema akilala usiku anaota ndoto gani?Pengine popobawa ashampitia so ndio katika kutoa taarifa.Sasa naona kama anataka kukosea hv maana taarifa inabidi aitoe vizuri sio kiujanja ujanja namna hii.Labda kama anafurahia kuchimbwa choo na popobawa,ataendelea kutoka manii na akichelewa ataleta uzi wa kuanza kula embe mbichi mixer kupenda ugwadu mtoto wa kiume....
Balaaa hili sasa, Lakini Uzi huu pasua kichwa
 
Habari zenu wataalamu, mimi ni kijana wa miaka 26 hivi karibuni nashangaa nikienda kujisaidia haja kubwa natokwa na manii, je hili ni tatizo?
hii huwa inatokea pale unapokuwa hujafanya mapenzi siku nyingi unapojisaidia kabla mkojo haujatoka zinatoka mani kidogo kisha mkojo,!!
 
utakuwa umekaa na nyege mda mrefu..... ukijikamua yawezekana ndiyo zinatoka ............. nenda kacheki kama unawasi wasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom